USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Wana JF,
Kwenye habari habari kuu hupewa kipaumbele na kufanya zingine ziwe za ziada tu. Jamaa alijiandaa sana akatangaza kushuka na kishindo cha watu kujaa JKNIA na sasa imeota mbawa kila kona kila media ni msiba wa Mkapa tu.
Wana Chadema wapo bize na msiba huu mzito kuliko ishu ya Lissu na siku akifika uwanja wa ndege utakuwa bize kupokea wageni wanakuja kwenye msiba ambao wengi ni viongozi wakuu wa nchi mbalimbali, so ulinzi utakuwa mkubwa na wa kiwango cha kutokuwepo mahekaheka ya kibavicha pale uwanjani, hivyo hakuna mtu atakuwa bize na siasa watu watakuwa bize na msiba tu.
Zimegangazwa siku tatu za kuaga pale uwanja wa uhuru media zote na akili za Watanzania zitakuwa pale sio kwa Lissu.
My take: Lissu ameanza vibaya na ni bora akahairisha tu hakuna namna.
USSR
Kwenye habari habari kuu hupewa kipaumbele na kufanya zingine ziwe za ziada tu. Jamaa alijiandaa sana akatangaza kushuka na kishindo cha watu kujaa JKNIA na sasa imeota mbawa kila kona kila media ni msiba wa Mkapa tu.
Wana Chadema wapo bize na msiba huu mzito kuliko ishu ya Lissu na siku akifika uwanja wa ndege utakuwa bize kupokea wageni wanakuja kwenye msiba ambao wengi ni viongozi wakuu wa nchi mbalimbali, so ulinzi utakuwa mkubwa na wa kiwango cha kutokuwepo mahekaheka ya kibavicha pale uwanjani, hivyo hakuna mtu atakuwa bize na siasa watu watakuwa bize na msiba tu.
Zimegangazwa siku tatu za kuaga pale uwanja wa uhuru media zote na akili za Watanzania zitakuwa pale sio kwa Lissu.
My take: Lissu ameanza vibaya na ni bora akahairisha tu hakuna namna.
USSR