Ikiwa ni siku tatu tu toka Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Kinana na msafara wake wapite kukagua hospitali ya rufaa ya Hydom serikali imeamua kuajiri watumishi 94 waliokuwa wanafanya kazi hospitalini hapo bila ajira ya serikali. Watumishi hao waligikisha kilio chao kwa Katibu Mkuu Kinana wakati wa ziara yake hospitalini hapo.
Aidha ruzuku ya serikali kwa hospital hiyo imepanda kutoka 200mill mpaka 316 mill, ikiwa ni mwitikio wa serikali kwa kilio cha hospitali hiyo kwa Kinana alipotembelea hospital hiyo.
Mytake
Waliokuwa wana dai ziara za kinana hazina tija kanyweni uji sasa mlale! Na huo ni mfano tu!
Aidha ruzuku ya serikali kwa hospital hiyo imepanda kutoka 200mill mpaka 316 mill, ikiwa ni mwitikio wa serikali kwa kilio cha hospitali hiyo kwa Kinana alipotembelea hospital hiyo.
Mytake
Waliokuwa wana dai ziara za kinana hazina tija kanyweni uji sasa mlale! Na huo ni mfano tu!