GE2025 Kisheria wagombea wote waliochukua form za kuwania urais wamekosa sifa ya kugombea kwani wameanza kampeni za uchaguzi kabla ya muda wake

GE2025 Kisheria wagombea wote waliochukua form za kuwania urais wamekosa sifa ya kugombea kwani wameanza kampeni za uchaguzi kabla ya muda wake

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
5,148
Reaction score
14,488
Huu uchaguzi wa mwaka huu unaendelea kutuonesha jambo la msingi sana la kuwa mamlaka yote hutanguliwa na watu.
Mwaka huu tumetangaziwa kutakuwa na zoezi la uchaguzi mkuu lakini cha kushangaza kila mgombea ameanza kampeni kabla ya tarehe rasmi ya kuanza mchakato wa kampeni. Kuanzia chama tawala na vyama vya upinzani vyote ambavyo wagombea wao wamejitokeza kuchukua form kwa namna moja au nyingine wametoa ahadi za vipaumbele vyao kitu ambacho siyo sawa.
 
Back
Top Bottom