KISHAPU; Watumishi sita wafukuzwa kwa utoro na uzembe kazini

kALEnga kidamali

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
542
733
[HASHTAG]#Habari[/HASHTAG]:Halmashauri ya wilaya ya Kishapu imelazimika kuwafukuza kazi watumishi wake sita kwa makosa ya uzembe na utoro kazini wakiwemo madereva watatu waliokuwa wameajiriwa kwa muda baada ya kugundulika kuwa hawajakidhi vigezo vya ajira huku baadhi ya idara zikiwa zimekosa watumishi baada ya zoezi la kuwaondoa kazini watumishi zaidi ya 44 wenye vyeti feki kukamilika.
 
Hahaha kishapu wana mbunge wao anambwembwe sana.

Anajiita mbunge shapu wa kishapu hao wametumbuliwa shapu shapu iliutendaji uwe shapu.
 
Back
Top Bottom