Kiseryi Chambiri: Mtazame Lowassa vizuri

Kiseryi Chambiri: Mtazame Lowassa vizuri

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,707
Mbunge wa Babati Mjini (CCM), Kiseryi Chambiri, amesema anamuomba Mungu jina la Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa liwe ni miongoni mwa majina matatu ya wagombea urais yatakayofika katika Mkutano Mkuu wa CCM kwani litakapoonekana watakuwa wamemaliza kazi na uchaguzi.

Kiseryi ulipataje ubunge Tarime ukaja kupata tena ubunge Babati? Bahati hiyo Lowassa hana,usiangalie kumaliza kazi mapema angalia itakuwaje Lowassa akiwa rais? Wengi sisi Lowassa hatumwogopi tunachoogopa ni watu walionyuma yake, ni watu hatari kuliko maelezo.

Bora tuchelewe kupata ushindi kuliko kukabidhi ikulu mafisi,wajukuu zetu watakuja piga viboko makaburi yetu.
 
Duh ! eee bhana eee !!!! nakubaliana na jk kwa hali hii ccm hawawezi kuachiana maji ya kunywa mezani .

Umeona enhee? Kuna mijitu inachuki mpaka imekwenda kukodisha waganga wa kienyeji inaongozana nayo.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
lowasa hana kipaji cha uongozi ila anakipaji cha uongo.
Uwezo wake ni kuongoza ng'ombe sio watu.
Lowasa ni jipu, ukitumbua vibaya utachafuka wewe, linahitaji timing sana
 
Umeona enhee? Kuna mijitu inachuki mpaka imekwenda kukodisha waganga wa kienyeji inaongozana nayo.

lowasa alimplot kifo mwakyembe ili asiwepo wkt anagombea urais asije kumchafua.......yako wapi! Mwisho wa cku yeye ndo mgonjwa mahututi. Mungu si lowasa na angekuwa lowasa ndo Mungu basi tungeisha wote
 
baadhi yetu tumeshaanza maandalizi ya kuachana na Bongo kama itakuwa chini ya utawala wa Lowassa. bora kutafuta maisha kwingineko duniani
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Hivi huyu mzee mwezangu kiseryi chambili bado yupo tu?
 
Aise kwa jinsi Lowassa anavyousaka urais inanikumbusha hadithi za alfuleulela mjini Bagdad Enzi za mfalme Harun Rashid, ati jamaa allijua katika mtaa ule kulukuwa na taa ya zamani yenye majini yake ni yeye tu alikuwa anajua matumizi yake, unajua kuipata hiyo taa akifanyanyaje, alinunua taa mpya 10 kama ile, akawa anapita nazo anaziuza akisema taa ee taa, taa mpya kwa taa kuukuu, akapata kuukuu moja

Kwenda mtaa wa pili akaletewa ile taa kuukuu yenye majin aliyokuwa anaitafuta, akamwambia yule aliyemletea chukua na hizi 8 zilizobaki

Sasa Mzee Lowassa kuna kitu anakitafuta kwenye huu urais, ana lengo nao maalumu, hilo lengo linaweza kuwa zuri au baya, so we can gamble.

Pia Lowassa akipata urais atakuwa amevunja ule usemi wa Kiswahili usemao "mkamia maji huwa hayanywi" basi yeye atayanywa.
For the first time in Tanzania history mtu kautafuta urais mithiri ya ng`ombe hakunywa maji jana sasa maji hayo kapewa leo.

KWA HIYO TUTAFAKARI TUSIFANYE MAMBO KIUSHABIKI.
 
Umeona enhee? Kuna mijitu inachuki mpaka imekwenda kukodisha waganga wa kienyeji inaongozana nayo.

lowasa alimplot kifo mwakyembe ili asiwepo wkt anagombea urais asije kumchafua.......yako wapi! Mwisho wa cku yeye ndo mgonjwa mahututi. Mungu si lowasa na angekuwa lowasa ndo Mungu basi tungeisha wote
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Hv huyu chambiri anavyomwombea lowasa kuwa rais yeye anauhakika wa kurudi mjengoni? Hatudanganyiki tena wana babati
 
  • Thanks
Reactions: DSN
ongeen yote wiki hiz mbili za mwisho Hiv kwa akili zenu ndogo mnaamin kabisa Lowassa hatakuwa rais! Time will tell
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom