Kisarawe Cement Company

Kisarawe Cement Company

Alvira

Member
Joined
Jun 17, 2013
Posts
13
Reaction score
1
Habari zenu wakuu.. Nilikua nauliza mwenye taarifa yoyote kuhusiana na hiki kiwanda cha saruji kama kimeanza kazi, na vipi kuhusu ajira zao?
 
Habari zenu wakuu.. Nilikua nauliza mwenye taarifa yoyote kuhusiana na hiki kiwanda cha saruji kama kimeanza kazi, na vipi kuhusu ajira zao?
nakushauri nenda kaulize wizara ya viwanda na biashara utapata majibu,waweza pia kwenda huko kisarawe kukiangalia ukauliza.....ukipata taarifa uje utujuze hapa tujue kama ni cha wahindi,wachina wazungu au waswahili tujue maslahi yao yakoje.ntakusaidia kujua maslahi yao ukileta taarifa hapa....
 
KISARAWE CEMENT FACTORY

Turkys Group of Companies started in 1980. Currently we deal in Real Estate, Hospitality, Petroleum & Gas, Manufacturing, Productions, Maritime, Merchandising, communication and Healthcare. We established a cement factory at Kisarawe area in Dar- es -Salam that will be in full operation by August 2014.
 
Lakini wako ktk hatua za mwisho kabisa. Naambiwa any time mwezi wa 8 wanaanza uzalishaji. Kwa wasio jua kilipo: Ni 5km toka Kisarawe mjini kama unakwenda CHOLE. Yaani lami inapoishia ndo hapo hapo.
 
Nina degreeya Archaeology, naomba kazi ya kufundisha HISTORY. Nikiwa chuo nilisona baathiya ” course” kama EP 101 na CT100 ninauzoefu wa kufundisha wa mwaka mmojakatika shule ya secondary pia nimewai fundisha “English Medium Nursery and primary school”Ninao uwezo wa kuandaa “Lesson plan” na kufanya shughulizingi ne kama mwalim. Kwamawasilianozaid piga NO:0766717965/0688583311. Kwa mkuu wa shule atakayehitagiCV naweza mtumia kwa Email; alexanda.kasomo@yahoo.com. Nikotayali kufundisha Mkoa wowote kwa mshahara unaokithi mahitaji.

 
Nina degreeya Archaeology, naomba kazi ya kufundisha HISTORY. Nikiwa chuo nilisona baathiya ” course” kama EP 101 na CT100 ninauzoefu wa kufundisha wa mwaka mmojakatika shule ya secondary pia nimewai fundisha “English Medium Nursery and primary school”Ninao uwezo wa kuandaa “Lesson plan” na kufanya shughulizingi ne kama mwalim. Kwamawasilianozaid piga NO:0766717965/0688583311. Kwa mkuu wa shule atakayehitagiCV naweza mtumia kwa Email; alexanda.kasomo@yahoo.com. Nikotayali kufundisha Mkoa wowote kwa mshahara unaokithi mahitaji.

sasa mwalimu gani hata kupangilia sentensi huwezi, hao wanafunzi utakao wafundisha itakuwaje?
 
Back
Top Bottom