Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,710
- 32,483
.........
Ninachohitaji kutoka kwenu wadau ni kuniambia huyu binti atakuwa na tatizo gani kichwani na je niendelee nae tu nimuache tu abaki na hiyo mimba kama zawadi yake ya kumbukumbu maana watoto ninao wa kutosha.Nitamtunza mtoto iwapo kuna ulazima.
Pia kama kuna mwenye uzoefu wa wake wawili aniambia mbinu za kumudu maana najiona nikiwa na mitara
Mkuu Ubongokid muhimu ungeanza kuomba ushauri kuhusu wewe una matatizo gani kichwani mkuu, huwezi kuwa na mke nyumbani alafu ukafanya yote hayo uliyofanya na kutolesha mimba zote hizo na bado unaona kawaida tu.