majimotozi
Member
- Apr 27, 2015
- 17
- 6
yaan ni kwamba wadau nimefanya mapenzi nae bila kutumia kinga kwahiyoo anadai kuwa tuachane mapenzi yanamuumiza maana kila nikimkoseaa ata kwa kitu kingnee analalmika sana sanaa so anadai amechoka kuumia kisa mapenzi, ila ni mtu wakukasirika sana kitu kidogo kanuna . daah msaada wadau maana ananipenda saana kwaninavo mjuaa sa sijui kawaza nin jamaanii,
Habari wakuu,
Jamani naombeni msaada mpenzi wangu amepaniki sana kisa nimedate nae bila kondom anadai nimemharibia maisha na anadai ammeniacha na kama ni mtoto wangu atanitafuta.
Ni mpenzi wangu tuna miezi 6 sasahivi na amedaii atahama eneo analoishiii na amedaii amechoka kuumizwa mapenzi yanamuumiza sana na anadai anataka kujiua huko aendako.
Jamani nisaidieni, naombeni ushauri
Habari wakuu,
Jamani naombeni msaada mpenzi wangu amepaniki sana kisa nimedate nae bila kondom anadai nimemharibia maisha na anadai ammeniacha na kama ni mtoto wangu atanitafuta.
Ni mpenzi wangu tuna miezi 6 sasahivi na amedaii atahama eneo analoishiii na amedaii amechoka kuumizwa mapenzi yanamuumiza sana na anadai anataka kujiua huko aendako.
Jamani nisaidieni, naombeni ushauri
Ambao hamjaelewa hamko 'attentive to details'... Ni hivi kamgonga dem wake na anahofu kuwa kapata mimba... Sasa hilo swala limemuumiza na ameamua kuchukua 'measures' flani flani to fly away from the guy. But kama atakuwa na mimba ya mshikaji, she will fly back...
Hapo je?
umedate nae bila k....mmh hapa unamaanisha nn?
unajua maana ya kudate?
Umesoma uzi wako na kuuelewa kweli mkuu??
Ndo ninyi mnaandikaga notes hata kuzisoma hamuwezi.
Jamani mlioelewa msaidieni.