Kisa Cha Zainab kisichafue Ujio wa The Royal Tour

Intra-African trade is a myth. WaAfrika tuna unafiki sana ukikaa kutegemea WaAfrika utachelewa sana wanasubiria uteleze wakuzike kabisa. Hii incident ya Zainab ndio imenionyesha true color ya watu weusi kuna unafiki sana katika uhusiano wetu.
 
Anahide comments huko twitter mrembo wenu
Duuhhh leo kaona aendeleze story yake kuwa alipewa assistance ya kuwekewa mlinzi personal na karusha chats kupoza mambo

Sipingi alichokisema hadi ushahidi wa polisi utolewe ila story yake sijaieleawa fresh

Imagine mbakaji kaingia room kwako, anavua nguo zote then anaanza kukupapasa huku anakuita "babe". Baadae unakataa mkaanza pukurupushani ila unamdanganya kwa kusema "HIV" japo hamuelewani lugha baadae mnakubaliana akafate condom sababu una HIV
 
Duuhhh leo kaona aendeleze story yake kuwa alipewa assistance ya kuwekewa mlinzi personal na karusha chats kupoza mambo

Sipingi alichokisema hadi ushahidi wa polisi utolewe ila story yake sijaieleawa fresh

Imagine mbakaji kaingia room kwako, anavua nguo zote then anaanza kukupapasa huku anakuita "babe". Baadae unakataa mkaanza pukurupushani ila unamdanganya kwa kusema "HIV" japo hamuelewani lugha baadae mnakubaliana akafate condom sababu una HIV
Maelezo ya police kaandika alielewana nae aje asubuhi tena
 
Wamechafua Zanzibar sisi watanganyika hatuhusiki sisi ni nchi nyingine kabisa ugomvi wao hautuhusu watanganyika tuseme
Ameen
 
She can't dirty zanzbar, she agree herself to have sex with a watchman things gone wrong and she want to scamm the hotel thus why she request 10,000 usd. There cctv cameras everywhere. She is a liar to destroy tourism to scamm dirty money. This Nigerian prostitution try to do this in many countries evidence is proved by trying to get dirty money and she bounce this in Tanzania. Nothing new we know Nigerian ladies. Nigerian are Scammer known all over the world, why she request 10,000 usd for what? Why she not call the police or nigerian embassy instead going to russian couple rooms is it planned business, because she do the same in mozambique Angola and Zambia how could scenario be the same.She bounce to scamm the hotel 10000 usd
Why she stay silent a year after accident and come out now
 
Huyu ni mdangaji hana hadhi ya utalii wowote. Njaa kali, kanyimwa dola elf 10,ndo kalianzisha, mwaka mzima alikuwa wapi

Screenshot_20220418_133213.jpg


Screenshot_20220418_133218.jpg


Screenshot_20220418_133229.jpg
 
Kinachonisikitisha zaidi watanzania wengi hawajakaa neutral na kuomba uchunguzi ufanyike kwanza ili at least madhara kwa brand ya Zanz'bar na Tanzania kwa ujumla yawe pungufu.

I'm sure hii kitu ingetokea SA, Kenya au hata Nigeria huyo binti angepigwa maswali kwenye loop holes zote za story Ila bongo sasa
Sababu ametokea nigeria dunia haiwezi muamini,kwa akili ya kawaida tu ukae kimya mwaka mzima baada ya tukio inakuja akilini kweli
 
Kinachonisikitisha zaidi watanzania wengi hawajakaa neutral na kuomba uchunguzi ufanyike kwanza ili at least madhara kwa brand ya Zanz'bar na Tanzania kwa ujumla yawe pungufu.

I'm sure hii kitu ingetokea SA, Kenya au hata Nigeria huyo binti angepigwa maswali kwenye loop holes zote za story Ila bongo sasa
Kweli kabisa......
 
Filamu màarufu na mahususi kwa Kutangaza utalii nchini Tanzania "The Royal Tour" kwa mara ya kwanza itazinduliwa na kuonyeshwa huko New York nchini Marekani.
Filamu hiyo ambayo inalenga kuinua sekta ya utarii imeandaliwa katika maeneo mbalimbali ya kitalii nchini kama vile Zanzibar, Kilimanjaro na Arusha.
Mhusika mmoja wapo ndani ya hiyo filamu ni Rais Samia Suluhu hasan na mmoja Kati ya Wageni maalumu katika uzinduzi wake unaofanyika Tarehe 18 April, New York kisha Los Angeles, Dar es Salaam na Zanzibar.
Siku chache kabla ya kuzindiliwa kwa filamu hii kioja kimeubuka baada ya mtalii raia wa Nigeria Zainab Oladehinde kulalamika mtandaoni kutendewa vibaya akiwa hotelini visiwani Zanzibar tarehe 16 Mwezi April 2022.
Ilikuwaje, Zainabu anasema alipoingia chumbani kwake alisikia mtu anamshika na kumpapasa huku akimuita beib akiwa gizani akitaka kumbaka lakini akamwambia huyo mtu kwamba ana Ukimwi kama njia ya kumtisha ili amuache hivyo akamwambia mtu huyo akatafute Kondom ili kujikinga mtu huyo akaondoka na kuahidi narudi hivyo Zainabu akapata Mwanya wa Kukimbilia katika chumba cha watalii wenzake alioonana nao hapo hotelini.
Pia Zainab anasema anadhani mlango wa chumba chake ulikuwa wazi .

Hoteli nayo imetoa maelezo kwamba ni kweli Zainabu alikuwa mgeni wao na kweli alifikisha malalamiko hayo kwa menejimenti ya hoteli.
Menejimenti ya hoteli ikaona jambo hilo ni la jinai hivyo liende polisi kisha wakamkamata mshukiwa ambaye ni mlinzi aliyeletwa na kampuni ya ulinzi ya hoteli hiyo.
Mshukiwa anasema yeye anashangaa kwamba msichana huyo walikubaliana kwamba aende chumbani kwake na alipokwenda wakakubaliana akatafute Condom ili kujilinda akatoka kwenda tafuta kondom , Sasa anashangaa kuambiwa alitaka kumbaka .Ndio maana hakuvunja Mlango wala hakupitia dirishani kwani mlango ulikuwa wazi na alipitia mlangoni kwa makubaliano ya yeye na Zainabu.
Mamlaka zinafanyia kazi suala hili lakini tayari limekwisha kusambaa kimataifa Nigeria na kwingine kwakuwa Zainab alitoa malalamiko yake kwa kuyachapisha kwenye Ukurasa wake wa mtandao wa Twitter.
Watu mbalimbali kote duniani hasa Nigeria wamesikitishwa na kitendo hiki na kutoa maoni yao.
Icon Olawale Kadri raia wa Nigeria kupitia Ukurasa wake wa Twitter ameandika "Nimewahi kutembelea Zanzibar hapo awali, niwaambie tu uchumi wa Tanzania utaona matokeo ya huu ukimya wa hotel ambako Zainab amefikia kwakua watalii wengi wameapa kutoenda tena huko"
"Heshima yangu kwa Tanzania ni kubwa Sana nimetembelea nchi hiyo mara nyingi na Watu wake ni wakarimu ni marafiki wakubwa lakini kwa kitendo hiki alichofanyiwa Zainab haki itendeke" aliongeza Kadri.
Nae Eli Ud raia wa Kenya alipotoa maoni yake Kupitia KTN TV Kenya anasema kama Zainab ametoa vithibitisho vyote basi haina budi mamlaka kuchukua hatua za haraka.
Taarifa iliyochapishwa na Kamisheni ya Utaliii Zanzibar April 17 inathibitisha kupokea tukio hilo na inalifanyia kazi lakini tayari baadhi ya madhara yamekwisha kuanza kuonekana kufuatia tukio hilo.
Inaonyesha kuwa tangu kuripotiwa kwa tukio hilo "Ratings" za hoteli za kitalii Zanzibar hasa aliyofikia Zainab zimepungua kutoka 4/5 hadi 1/1.
Kwa maana hiyo watalii wamefanya kampeni ya kutoa maoni ya kutoridhishwa na huduma za kitalii Zanzibar jambo ambalo linapinguza Soko la utalii.
Kwa mantiki nyingine tukio hili limekuja wakati mbaya kwa Tanzania kipindi ambacho The Royal Tour inazinduliwa rasmi.
Haileti picha nzuri filamu inapozinduliwa watu wa mataifa watafute taarifa za Utalii wa Tanzania wakutane na hiki kisa cha Zainab kitawatisha.
Ni wakati mgumu kwa Serikali ya Tanzania kujisafisha kwa hili tukio ili isilete madhara kwenye filamu hii iliyogharimu mabilioni ya shilingi za wahisani
Tumeshuhudia hivi karibuni namna ambavyo atathari za janga la Virusi vya Corona ilivyopunguza kasi ya watalii duniani.
Tumeshuhudia namna nchi zilizo kwenye machafuko Kama Somalia, DRC na Kwingineko namna zinavyopoteza watalii kwa mikasa ya kivita.
Ni wazi kuwa The Royal Tour ina faida kubwa sana kwa sekta ya utalii nchini na inahitaji mapokezi makubwa ili ifanikiwe kuuuza utalii wetu.
Mamlaka zifanye mkakati maalumu wa kujisafisha na kuondoa haya malalamiko kuhusu sekta ya utalii nchini.
Na tukio la Zainab liwe funzo kwa wakati ujao hotel binafsi na za umma zishughulikie malalamiko ya wateja kwa haraka Sana kabla hayajatokea madhara.

peter MwaiholaView attachment 2191455
Naona umeshahau kuandika namba za siku na mahali unapopatikana..ili wazee wa vetting wakuingize kwenye risiti ya walamba teuzi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Pamoja na matatizo tunayopitia nchi kama nchi kwa maana ya siasa zetu hizi lakini tunapaswa kuilinda Brand yetu ya UTANZANIA kwa namna yeyote..

tunapoona nchi yetu inachafuliwa lazima tuipambanie kulinda brand yetu kama WATANZANIA....linapofika suala la wenyewe kwa wenyewe humu ndani tutapambana wenyewe lakini UTANZANIA WETU NI MUHIMU.

tusiruhusu wageni watumie mwanya wa siasa zetu na tofauti zetu baadala yake tusimame pamoja kulinda nchi yetu na kila figisu maana bado utaitwa MTANZANIA...

Silaha pekee kwa sasa ni WATANZANIA WOTE TUPENDANE POPOTE PALE NA TUILINDE BRAND YETU YA UTANZANIA...NA DUNIA ITUOGOPE KWENYE UTANZANIA WETU...
 
Polisi Zanzibar wanasema kesi haikwenda kokote sababu hakukuwa na ushahidi wa kutosha...Zainab aliwaambia polisi kuwa anaweza mtambua mtuhumiwa kwa harufu! kwani aliyemungilia alikuwa beberu la mbuzi!
 
Filamu màarufu na mahususi kwa Kutangaza utalii nchini Tanzania "The Royal Tour" kwa mara ya kwanza itazinduliwa na kuonyeshwa huko New York nchini Marekani.
Filamu hiyo ambayo inalenga kuinua sekta ya utarii imeandaliwa katika maeneo mbalimbali ya kitalii nchini kama vile Zanzibar, Kilimanjaro na Arusha.
Mhusika mmoja wapo ndani ya hiyo filamu ni Rais Samia Suluhu hasan na mmoja Kati ya Wageni maalumu katika uzinduzi wake unaofanyika Tarehe 18 April, New York kisha Los Angeles, Dar es Salaam na Zanzibar.
Siku chache kabla ya kuzindiliwa kwa filamu hii kioja kimeubuka baada ya mtalii raia wa Nigeria Zainab Oladehinde kulalamika mtandaoni kutendewa vibaya akiwa hotelini visiwani Zanzibar tarehe 16 Mwezi April 2022.
Ilikuwaje, Zainabu anasema alipoingia chumbani kwake alisikia mtu anamshika na kumpapasa huku akimuita beib akiwa gizani akitaka kumbaka lakini akamwambia huyo mtu kwamba ana Ukimwi kama njia ya kumtisha ili amuache hivyo akamwambia mtu huyo akatafute Kondom ili kujikinga mtu huyo akaondoka na kuahidi narudi hivyo Zainabu akapata Mwanya wa Kukimbilia katika chumba cha watalii wenzake alioonana nao hapo hotelini.
Pia Zainab anasema anadhani mlango wa chumba chake ulikuwa wazi .

Hoteli nayo imetoa maelezo kwamba ni kweli Zainabu alikuwa mgeni wao na kweli alifikisha malalamiko hayo kwa menejimenti ya hoteli.
Menejimenti ya hoteli ikaona jambo hilo ni la jinai hivyo liende polisi kisha wakamkamata mshukiwa ambaye ni mlinzi aliyeletwa na kampuni ya ulinzi ya hoteli hiyo.
Mshukiwa anasema yeye anashangaa kwamba msichana huyo walikubaliana kwamba aende chumbani kwake na alipokwenda wakakubaliana akatafute Condom ili kujilinda akatoka kwenda tafuta kondom , Sasa anashangaa kuambiwa alitaka kumbaka .Ndio maana hakuvunja Mlango wala hakupitia dirishani kwani mlango ulikuwa wazi na alipitia mlangoni kwa makubaliano ya yeye na Zainabu.
Mamlaka zinafanyia kazi suala hili lakini tayari limekwisha kusambaa kimataifa Nigeria na kwingine kwakuwa Zainab alitoa malalamiko yake kwa kuyachapisha kwenye Ukurasa wake wa mtandao wa Twitter.
Watu mbalimbali kote duniani hasa Nigeria wamesikitishwa na kitendo hiki na kutoa maoni yao.
Icon Olawale Kadri raia wa Nigeria kupitia Ukurasa wake wa Twitter ameandika "Nimewahi kutembelea Zanzibar hapo awali, niwaambie tu uchumi wa Tanzania utaona matokeo ya huu ukimya wa hotel ambako Zainab amefikia kwakua watalii wengi wameapa kutoenda tena huko"
"Heshima yangu kwa Tanzania ni kubwa Sana nimetembelea nchi hiyo mara nyingi na Watu wake ni wakarimu ni marafiki wakubwa lakini kwa kitendo hiki alichofanyiwa Zainab haki itendeke" aliongeza Kadri.
Nae Eli Ud raia wa Kenya alipotoa maoni yake Kupitia KTN TV Kenya anasema kama Zainab ametoa vithibitisho vyote basi haina budi mamlaka kuchukua hatua za haraka.
Taarifa iliyochapishwa na Kamisheni ya Utaliii Zanzibar April 17 inathibitisha kupokea tukio hilo na inalifanyia kazi lakini tayari baadhi ya madhara yamekwisha kuanza kuonekana kufuatia tukio hilo.
Inaonyesha kuwa tangu kuripotiwa kwa tukio hilo "Ratings" za hoteli za kitalii Zanzibar hasa aliyofikia Zainab zimepungua kutoka 4/5 hadi 1/1.
Kwa maana hiyo watalii wamefanya kampeni ya kutoa maoni ya kutoridhishwa na huduma za kitalii Zanzibar jambo ambalo linapinguza Soko la utalii.
Kwa mantiki nyingine tukio hili limekuja wakati mbaya kwa Tanzania kipindi ambacho The Royal Tour inazinduliwa rasmi.
Haileti picha nzuri filamu inapozinduliwa watu wa mataifa watafute taarifa za Utalii wa Tanzania wakutane na hiki kisa cha Zainab kitawatisha.
Ni wakati mgumu kwa Serikali ya Tanzania kujisafisha kwa hili tukio ili isilete madhara kwenye filamu hii iliyogharimu mabilioni ya shilingi za wahisani
Tumeshuhudia hivi karibuni namna ambavyo atathari za janga la Virusi vya Corona ilivyopunguza kasi ya watalii duniani.
Tumeshuhudia namna nchi zilizo kwenye machafuko Kama Somalia, DRC na Kwingineko namna zinavyopoteza watalii kwa mikasa ya kivita.
Ni wazi kuwa The Royal Tour ina faida kubwa sana kwa sekta ya utalii nchini na inahitaji mapokezi makubwa ili ifanikiwe kuuuza utalii wetu.
Mamlaka zifanye mkakati maalumu wa kujisafisha na kuondoa haya malalamiko kuhusu sekta ya utalii nchini.
Na tukio la Zainab liwe funzo kwa wakati ujao hotel binafsi na za umma zishughulikie malalamiko ya wateja kwa haraka Sana kabla hayajatokea madhara.

peter MwaiholaView attachment 2191455
kila nikiangalia jicho la kushoto la zainabu napata wasiwasi na madai yake, amekaa kimkakati.
 
ingekuwa ni dada wakitanzania amebakwa Nigeria....hao wanigeria bado wangeitetea nchi yao...huwa wako hivyo dhidi ya Utaifa wao...lakini utashangaa wabongo baada ya kutetea UTAIFA wao wanaleta diplomasia....DIPLOMASI TUIACHIE SERIKALI sisi raia woote tuonyeshe hasira kwa Dada wakinigeria na Wanigeria ili wajue WATANZANIA SIO WAKUCHEZEA...

Watu wetu wa migration na wao waonyeshe hasira chini kwa chini dhidi yao kwa kuwaletea ugumu kila waingiapo Tanzania..
 
Wamechafua Zanzibar sisi watanganyika hatuhusiki sisi ni nchi nyingine kabisa ugomvi wao hautuhusu watanganyika tuseme
Ameen
wakat tunaweka juhudi za kuonesha kuwa cc waafrika hatupendani na ww unakuja na kituko chako cha mwaka bro ulikaa darasani kweli ww??
 
Back
Top Bottom