Mimi ni mwanaume Nina miaka 36, nimeoa na tumejaaliwa kuzaa watoto watatu. Mwaka 2020 nilipata changamoto ya kikazi ilinipelekea kuyumba kimaisha, ivyo nikashindwa kulipa kodi, Sasa Kuna mama mmoja alikuja na kujifanya kama msamalia mwema, Kuna nyumba yake ambayo ilikua hazijaisha vizuri japo ilifaa kwa kuishi mana ujenzi uliobaki sio ule wa lazima. Akatuomba tuende kukaa kwenye hiyo nyumba nahisi alikua anatafuta mtu wa kulinda.
Basi tuliamia pale na mtoto mmoja, tukapata na wengine wawili. Sasa juzi kati ghafra tu mwenye nyumba akaja na kusema anataka afanyie ukarabati nyumba yake ili ahamie, akatupa miezi miwili tuhame, tukashtuka sana mana hatukujipanga kuhama kipindi hichi, Sasa kwanini alishindwa kutuambia mapema ili tujipange? yani kumlindia nyumba yake miaka mitano Leo hii anataka kutufukuza kama mmbwa, ama kweli shukrani ya punda ni mateke, tukijaribu kuongea nae atuongezee siku, anasema miezi miwili ni mingi na hapo amemuomba sana mume wake mana alitaka atugawie mwezi mmoja.
Hata ivyo sisi ni waungwana sana funzo mana Kunawatu hua wanawaroga wenye nyumba ili wasahau kama walijengaga, unakuta mtu analinda nyumba mpaka mwisho wa siku nyumba inakua kama yake, ila sisi hatukufanya ivyo, wema wetu ulituponza kumbe wanaofanyaga hivyo hua wanaona mbali sana.
Wamesababisha sasahivi naenda kuhamia ukweni, mpaka nijipate ni Leo? si nitakua nimesha oga dharau za Kila aina huko ukweni?
Sisi tumemuachia Mungu atatulipia kwa hili.
Angekua muungwana angetujengea hata chumba kimoja pembeni mana anauwanja mkubwa tu.
NAOMBA WAFIKISHIE UJUMBE HUU FUNZO
MANA WENYE TABIA HIZI NI WENGI HATA KWENYE NYUMBA ZA KUPANGA, WAPO WENYENYUMBA HUWAFANYIA HIVI WAPANGAJI WAO HII SIO HAKI.
Funzo media
Basi tuliamia pale na mtoto mmoja, tukapata na wengine wawili. Sasa juzi kati ghafra tu mwenye nyumba akaja na kusema anataka afanyie ukarabati nyumba yake ili ahamie, akatupa miezi miwili tuhame, tukashtuka sana mana hatukujipanga kuhama kipindi hichi, Sasa kwanini alishindwa kutuambia mapema ili tujipange? yani kumlindia nyumba yake miaka mitano Leo hii anataka kutufukuza kama mmbwa, ama kweli shukrani ya punda ni mateke, tukijaribu kuongea nae atuongezee siku, anasema miezi miwili ni mingi na hapo amemuomba sana mume wake mana alitaka atugawie mwezi mmoja.
Hata ivyo sisi ni waungwana sana funzo mana Kunawatu hua wanawaroga wenye nyumba ili wasahau kama walijengaga, unakuta mtu analinda nyumba mpaka mwisho wa siku nyumba inakua kama yake, ila sisi hatukufanya ivyo, wema wetu ulituponza kumbe wanaofanyaga hivyo hua wanaona mbali sana.
Wamesababisha sasahivi naenda kuhamia ukweni, mpaka nijipate ni Leo? si nitakua nimesha oga dharau za Kila aina huko ukweni?
Sisi tumemuachia Mungu atatulipia kwa hili.
Angekua muungwana angetujengea hata chumba kimoja pembeni mana anauwanja mkubwa tu.
NAOMBA WAFIKISHIE UJUMBE HUU FUNZO
MANA WENYE TABIA HIZI NI WENGI HATA KWENYE NYUMBA ZA KUPANGA, WAPO WENYENYUMBA HUWAFANYIA HIVI WAPANGAJI WAO HII SIO HAKI.
Funzo media