Kisa cha mwenye nyumba

Kisa cha mwenye nyumba

Wewe ni mzenge...miez 2 huyo ni mstaarabu, alitakiwa akupe siku 1, kalagabaho....
 
Mkuu utafyatuaje watoto ndani ya nyumba ya bure
Na mimi nikishangaa hapa nikasema labda kibongobongo ndiyo kila mtoto anakuja na riziki yake hiyo.

Unamleta kiumbe duniani uk8jua hata wewe mwenyewe maisha yako hujayamudu.

Unatengeneza matatizo juu ya matatizo tu.
 
Na mimi nikishangaa hapa nikasema labda kibongobongo ndiyo kila mtoto anakuja na riziki yake hiyo.

Unamleta kiumbe duniani uk8jua hata wewe mwenyewe maisha yako hujayamudu.

Unatengeneza matatizo juu ya matatizo tu.
unawaachia watu wengine mizigo mbaya sana. Kimsingi hata ukichelewa kuzaa ni kwamba utawaacha watoto wadogo, unawapa presha
 
unawaachia watu wengine mizigo mbaya sana. Kimsingi hata ukichelewa kuzaa ni kwamba utawaacha watoto wadogo, unawapa presha
Halafu watoto wanapewa kazi ya kuwa ombaomba.

Kifalsafa si haki kumleta duniani mtoto ambaye hujamtayarishia maisha yake hata vitu basic tu.
 
Sawa ni kweli lakini na huyo mwamba avae kiatu cha mwenye nyumba. Watanzania huruma ndo zinatuponza. Hata kama ni kujitafuta ndo miaka mitano bado hujawa na uwezo wa kujilipia kodi?
 
Mi naona vijana kosa kubwa wanalofanya ni kukimbilia kuoa huku hatujawa tayari kukabili majukumu.
 
Kwanza nimesikitishwa sana na mlalamikaji, hana hoja yoyote ya mashiko inayomfanya alalamike, na hapo kumuhusisha Mungu kwamba yeye ndo atalipa haina mashiko pia alipe kwa sababu ipi au ndo atazidi kumuongezea baraka aliyemsaidia?

Shida ya mlalamikaji ni kusaidiwa alitakiwa aachwe tu ateseke. Umemsaidia akiwa na mtoto mmoja mwenzio anaona amejipata anaongeza wengine wawili😂 alafu anawaza eti anaroho nzuri na mwema kwamba hajaenda kumroga mwenye nyumba asahau nyumba yake🚮

Yaani akubali tu kuwa amekosea
 
Tuseme tu ukweli umeamua tu utufurahishe lakin sio ukwel kwa ulichokisema hapa ni kama mendullar oplangata hazipo vizuri coz ungeamua kujipanga hata kila cku unatunza jero jero kwa mwaka ungekua na 182,000 kwa miaka hiyo mitano ungekua na 910,000 kuliko kuja kutuambia mambo ya mbuzi kanywa kahawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom