mwema raia
New Member
- May 10, 2012
- 2
- 1
Wanajamvi naomba mwenye taarifa anijuze alipo Kirumbe Ng'enda yule aliyekuwa katibu wa magamba mkoa wa Dar es salaam.
Leo hii ni Mh. Mbunge wa Jimbo moja huko Kigoma.Kwa mara ya mwisho nilimsikia akirudi wkao, nadhani Kigoma. Baada ya hapo sijamsikia tena
Muulize Zittowanajamvi naomba mwenye taarifa anijuze alipo Kirumbe Ng'enda yule aliyekuwa katibu wa magamba mkoa wa Dar es salaam.
AlifarikiGuninita nae yuko wap wakuu?
RIPGuninita nae yuko wap wakuu?
Duh umenikumbusha mbali huyu alikuwa mwenyekiti UVCCM miaka ileee kabla ya Sukwa Said SukwaGuninita nae yuko wap wakuu?
Ndio maana alishinda bila kuiba👍
Kigoma oyeeee !!
HoyeeKigoma oyeeee !!
RIPGuninita nae yuko wap wakuu?
Amesema anaumwa sanaKwani GOGOKI2014 kasemaje?
Malipo ni hapa hapa duniani kudadadeq