mwanahisa mwambie huyo ajui kiloba kinaleta heshima ya kitanda?
jamani serikali ingelitazama sana hili swala la kiroba .unakuta kijana asubuhi anasema anatoa lock .dereva wa hiache nae anatoa lock asubuhi ..serìkali ifute kiroba pombe iwekwe kwenye chupa na bei itamlimit mtu kunywa kila mara
Hizi pombe tulitegemea ziuzwe kwenye ma bar, grocery na maduka maharumu ya pombe, lakini siku hizi pita kariakoo saa 12 asubuhi utaona viroba vimepangwa kwenye meza barabarani.
Kweli ulevi noma!!!