Yugu
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 1,080
- 329
Habari wanaJF,
Ni mara yangu ya kwanza kupost thread kwenye huu uwanja ila kwa ku comment sijambo japokuwa si mwenyeji humu. Nina maswali na kwa kuwa najua humu mna vichwa ndo mana nikaona bora niulize, nipo kwenye utafiti wa kitaaluma.
1. Nini kirefu cha IPTL na PAP
2. Bunge la Katiba lilianza mwezi na kuisha mwezi gani?
3. Sakata la Escrow liliibuliwa kwenye kikao cha ngapi cha bunge?
Ni hayo tu ndugu, msaada wenu ni muhimu..
Ni mara yangu ya kwanza kupost thread kwenye huu uwanja ila kwa ku comment sijambo japokuwa si mwenyeji humu. Nina maswali na kwa kuwa najua humu mna vichwa ndo mana nikaona bora niulize, nipo kwenye utafiti wa kitaaluma.
1. Nini kirefu cha IPTL na PAP
2. Bunge la Katiba lilianza mwezi na kuisha mwezi gani?
3. Sakata la Escrow liliibuliwa kwenye kikao cha ngapi cha bunge?
Ni hayo tu ndugu, msaada wenu ni muhimu..