Kipofu na mahakama

Kipofu na mahakama

isiaka6

Member
Joined
May 9, 2013
Posts
67
Reaction score
7
Kipofu alifkishwa mahakamani kisa kaua mtu.Alipohojiwa na JAJI yeye akajitetea akasema hivi :Ndugu JAJI kwakweli mimi na marehemu tuligombana nilipotaka kumpiga akasema NIUE UONE na mimi kwakuwa nilikuwa ninahamu sana ya KUONA basi NIKAMUUA.Je nani mwenye kosa hapo?
 
Back
Top Bottom