Elections 2010 Kipindi Maalum cha TV Kuombea Uchaguzi.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,442
113,452
Salaam wanabodi.<br />
Leo usiku kutakuwepo kipindi maalum cha kuombea uchaguzi mkuu uwe wa amani na utulivu.<br />
<br />
Kipindi hicho kimesharushwa na ITV na Star TV jioni ya leo. Usiku huu kitarushwa na TV zilizobakia kama ifuatavyo:<br />
Saa 2:30 usiku - ATN<br />
Saa 3:00 TV Tumaini.<br />
Saa 4:00 TBC<br />
Saa 5:00 Channel Ten.<br />
<br />
Nawaombeni wale mtakao pata chance, mkitazame kipindi hicho halafu mnipe your honest opinion including critique.<br />
<br />
Nimewaomba kwa sababu nina vested interest. Uchaguzi ikishamalizika, tutawekana wazi zaidi.<br />
natanguliza Shukrani.
 
Back
Top Bottom