Kipindi Maalum Cha Lowassa Channel Ten

Kipindi Maalum Cha Lowassa Channel Ten

Acheni wivu, wivu mwingine ni zaidi ya wivu wa kike
 
mkuu tatizo ni nini unajua?
1, lowasa mwenyewe hana akili za kujiongoza
2,mshauri wake kingunge unatengemea nini hapo?
3,washauri wake wanamuigiza choo cha kike nae anakubali kukaa,na kwa kuwa anabaka siasa nae anakurupuka siasa hazijui.

Nina matumaini na ile hotuba ya dakika moja na nusu aliyoisoma wakati wa kurejesha fomu za udhamini itachezwa mara kadhaa ili umma ujiridhishe kuwa huyu anastahili kuwa mkuu wa nchi. Yaani mkuu wa nchi mtarajiwa hawezi kukariri hotuba ya dakika moja na nusu angaa afanye usanii kidogo na kuzuga kuwa anayozungumza yanatoka moyoni mwake na sio aliyoandikiwa na mzee Kingunge! Mzee wa Matumaini anatisha!
 
acheni majungu yasio na tija ufisadi wa Lowasa uko wapi?
Lowasa ndiye anayefaa kuingia ikulu kwa wakati huu,kuweni na fikra za mbali ndugu wananch
 
Nina matumaini na ile hotuba ya dakika moja na nusu aliyoisoma wakati wa kurejesha fomu za udhamini itachezwa mara kadhaa ili umma ujiridhishe kuwa huyu anastahili kuwa mkuu wa nchi. Yaani mkuu wa nchi mtarajiwa hawezi kukariri hotuba ya dakika moja na nusu angaa afanye usanii kidogo na kuzuga kuwa anayozungumza yanatoka moyoni mwake na sio aliyoandikiwa na mzee Kingunge! Mzee wa Matumaini anatisha!

hotuba yake kutafta wadhamin dar aliisom pia????
 
Back
Top Bottom