Kipindi cha "Mikingamo": Ujasiri huu umepotelea wapi?

ndyoko

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,971
1,650
Nikiwa nimepumzika nikiwaza hili na lile juu ya uovu wa CCM kwa nchi yetu TZ,
na jinsi juhudi zinazochukuliwa na watawala ktk kushughulikia ufirauni wa CCM,
ghafla nikajikuta nakikumbuka hiki kipindi ambacho pengine ni wachache tu wanaoweza
kuwa wanakijua na kukikumbuka kwa jinsi kilivyokuwa mstari wa mbele
kuweka hadharani uovu wa watawala wa wakati ule bila woga kupitia RTD.

Najaribu kukumbuka maneno ya kibwagizo ya mtangazaji alokuwa akiendesha
kipindi, 'TUAMBIE NANI, YUKO WAPI NA ANAFANYA NINI KUENDELEZA RUSHWA,
ULANGUZI NA MAGENDO, NASI TUTAMTANGAZA HADHARANI...............hebu
malizieni hayo maneno plz! Kwa anayemkumbuka mtangazi mahsusi wa kipindi
kile anijuze please kwani nshamsahau! Nilikuwa nafurahishwa sana na lile
tarumbeta la muziki ulokuwa ukiambatana na kipindi hiki............'

Unayakumbuka haya maneno? 'Nikilala nikiamka aaaaaaaaah, mkaaaa hauonekani,
'Sasa vita imetangazwaaa jamaaa, wananchi wote tuwe imara', vijijini na mijini
tusisite kuwafichua wahujumu na walanguzi"............Aaaaaaaaaaaah, nchi imekwisha hiii
imebaki longolongo tu, Mwl kaondoka na kila chake, umebaki uzushi tupu!

J'mosi njema wakuu!

My take: Kwa watawala tulionao hivi sasa hakuna ambaye anaweza kuthubutu
kuanzisha na kukiendesha kipindi kama hiki kwa sasa na kukiendesha
kwa namna kilivyokuwa kikiendeshwa miaka ile ya 80!
 
hiyo iliwezekana wakati wa mfumo wa chama kimoja.

Nikiwa nimepumzika nikiwaza hili na lile juu ya uovu wa CCM kwa nchi yetu TZ,
na jinsi juhudi zinazochukuliwa na watawala ktk kushughulikia ufirauni wa CCM,
ghafla nikajikuta nakikumbuka hiki kipindi ambacho pengine ni wachache tu wanaoweza
kuwa wanakijua na kukikumbuka kwa jinsi kilivyokuwa mstari wa mbele
kuweka hadharani uovu wa watawala wa wakati ule bila woga kupitia RTD.

Najaribu kukumbuka maneno ya kibwagizo ya mtangazaji alokuwa akiendesha
kipindi, 'TUAMBIE NANI, YUKO WAPI NA ANAFANYA NINI KUENDELEZA RUSHWA,
ULANGUZI NA MAGENDO, NASI TUTAMTANGAZA HADHARANI...............hebu
malizieni hayo maneno plz! Kwa anayemkumbuka mtangazi mahsusi wa kipindi
kile anijuze please kwani nshamsahau! Nilikuwa nafurahishwa sana na lile
tarumbeta la muziki ulokuwa ukiambatana na kipindi hiki............'

Unayakumbuka haya maneno? 'Nikilala nikiamka aaaaaaaaah, mkaaaa hauonekani,
'Sasa vita imetangazwaaa jamaaa, wananchi wote tuwe imara', vijijini na mijini
tusisite kuwafichua wahujumu na walanguzi"............Aaaaaaaaaaaah, nchi imekwisha hiii
imebaki longolongo tu, Mwl kaondoka na kila chake, umebaki uzushi tupu!

J'mosi njema wakuu!

My take: Kwa watawala tulionao hivi sasa hakuna ambaye anaweza kuthubutu
kuanzisha na kukiendesha kipindi kama hiki kwa sasa na kukiendesha
kwa namna kilivyokuwa kikiendeshwa miaka ile ya 80!
 
Ilikua sauti ya Ahmed Kipozi, akisema, Mikingamo ni sauti ya umma, tuambie, yuko wapi na anafanya nini"... Duh!! Unanikumbusha mbali maana niliigiza kama 'Redio' nikiwa chini ya meza Maigizo Mawenzi Sekondari, Moshi.. Na sauti yangu nikimuigiza Kipozi, sikujua siku moja nitafanya naye kazi nikiwa katika fani moja na yeye. Kweli ilikua ni nguvu ya watawala. Wananchi na wanataaluma wa fani zote waliitikia wito, hata wasanii waliimba nyimbo za kuhamasisha mapambano dhidi ya rushwa! Umenifanya nitokwe machozi, nikiangalia jinsi rushwa ilivyogeuka kuwa kigezo muhimu katika kufanikisha mambo muhimu hata kuendesha siasa, uchumi na hata huduma! MUNGU INUSURU TANZANIA, Msaidie yeyote anayeitakia mema Tanzania yetu njema, Eee Mungu waangamize wanaoiangamiza Tanzania yetu njema kwa Ufisadi na Dhulma. Amin.
 
Kwa upande mwingine ilikuwa ni kipindi cha kupigia majungu na kujenga unafiki

Hata humu kuna hayo unayoyaita 'majungu' lakini katika majungu 100 utakuta 75 yana data unazoweza kupata ukweli. Kazi ya umma ni kuleta hayo 'majungu' na dola ni kuyafanyia kazi kwa HAKI na kukusanya ushahidi. Leo mtu anaambiwa alete ushahidi, raia mwema atapata wapi ushahidi wa kimahakama? Leo Chadema wanaambiwa wapeleke ushahidi wa rushwa Arumeru uliompitisha Siyoi lakini rushwa iliyoshindwa kumpitisha Sarakikya na wenzake, badala ya dola kuwasilisha ushahidi husika ama kuwafikisha wahusika mahakamani. Hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi yetu.
 
Duh mkuu ama kweli imekuuma hadi unakumbuka mikingamo! Uwapi uzalendo wa mikingamo hii leo kwenye vyombo vyetu vya habari?
Tutamkumbuka baba wa taifa daima milele
 
Nikiwa nimepumzika nikiwaza hili na lile juu ya uovu wa CCM kwa nchi yetu TZ,
na jinsi juhudi zinazochukuliwa na watawala ktk kushughulikia ufirauni wa CCM,
ghafla nikajikuta nakikumbuka hiki kipindi ambacho pengine ni wachache tu wanaoweza
kuwa wanakijua na kukikumbuka kwa jinsi kilivyokuwa mstari wa mbele
kuweka hadharani uovu wa watawala wa wakati ule bila woga kupitia RTD.

Najaribu kukumbuka maneno ya kibwagizo ya mtangazaji alokuwa akiendesha
kipindi, 'TUAMBIE NANI, YUKO WAPI NA ANAFANYA NINI KUENDELEZA RUSHWA,
ULANGUZI NA MAGENDO, NASI TUTAMTANGAZA HADHARANI...............hebu
malizieni hayo maneno plz! Kwa anayemkumbuka mtangazi mahsusi wa kipindi
kile anijuze please kwani nshamsahau! Nilikuwa nafurahishwa sana na lile
tarumbeta la muziki ulokuwa ukiambatana na kipindi hiki............'

Unayakumbuka haya maneno? 'Nikilala nikiamka aaaaaaaaah, mkaaaa hauonekani,
'Sasa vita imetangazwaaa jamaaa, wananchi wote tuwe imara', vijijini na mijini
tusisite kuwafichua wahujumu na walanguzi"............Aaaaaaaaaaaah, nchi imekwisha hiii
imebaki longolongo tu, Mwl kaondoka na kila chake, umebaki uzushi tupu!

J'mosi njema wakuu!

My take: Kwa watawala tulionao hivi sasa hakuna ambaye anaweza kuthubutu
kuanzisha na kukiendesha kipindi kama hiki kwa sasa na kukiendesha
kwa namna kilivyokuwa kikiendeshwa miaka ile ya 80!


Umenikumbusha mbali sana Mkuu, Kila zama na kitabu chake! Mikingamo ilifanya kazi wakati ule, ... miaka ya 1983, sasa hivi tunayo JF inafanya kazi zaidi ya Mikingamo! wakati ule Mikingamo waliwashughulikia maafisa wadogowadogo wasingemgusa Waziri au kigogo yeyote (wakti ule tukiwaita VINGUNGE), leo hii utakubalina nami kuwa wale wahanga wa Richmonduli, EPA, etc. mawe yaliyowatungua yametokea humu JF.

RTD's Mikingamo came and left us with same problems, JF will live forever!
 
Umenikumbusha mbali sana Mkuu, Kila zama na kitabu chake! Mikingamo ilifanya kazi wakati ule, ... miaka ya 1983, sasa hivi tunayo JF inafanya kazi zaidi ya Mikingamo! wakati ule Mikingamo waliwashughulikia maafisa wadogowadogo wasingemgusa Waziri au kigogo yeyote (wakti ule tukiwaita VINGUNGE), leo hii utakubalina nami kuwa wale wahanga wa Richmonduli, EPA, etc. mawe yaliyowatungua yametokea humu JF.

RTD's Mikingamo came and left us with same problems, JF will live forever!

kidubwashika cha 'like' hakionekani kaka, u have said it all!
 
Ilikua sauti ya Ahmed Kipozi, akisema, Mikingamo ni sauti ya umma, tuambie, yuko wapi na anafanya nini"... Duh!! Unanikumbusha mbali maana niliigiza kama 'Redio' nikiwa chini ya meza Maigizo Mawenzi Sekondari, Moshi.. Na sauti yangu nikimuigiza Kipozi, sikujua siku moja nitafanya naye kazi nikiwa katika fani moja na yeye. Kweli ilikua ni nguvu ya watawala. Wananchi na wanataaluma wa fani zote waliitikia wito, hata wasanii waliimba nyimbo za kuhamasisha mapambano dhidi ya rushwa! Umenifanya nitokwe machozi, nikiangalia jinsi rushwa ilivyogeuka kuwa kigezo muhimu katika kufanikisha mambo muhimu hata kuendesha siasa, uchumi na hata huduma! MUNGU INUSURU TANZANIA, Msaidie yeyote anayeitakia mema Tanzania yetu njema, Eee Mungu waangamize wanaoiangamiza Tanzania yetu njema kwa Ufisadi na Dhulma. Amin.

Jamaa kanikumbusha mbali sana. Tena kilikuwa kila siku ya j5. Hivi hiyo sauti ilikuwa ya Kipozi au Salim Mbonde? Wimbo wa kuanzia kipindi ulikuwa.....Chama chama kimetukomboa chama * 2... Watanzania, wanamapinduzi, ni CCM yajenga nchi..Hapo redio ya mbao 88 3band inatema cheche ile mbaya.
 
Ilikua sauti ya Ahmed Kipozi, akisema, Mikingamo ni sauti ya umma, tuambie, yuko wapi na anafanya nini"... Duh!! Unanikumbusha mbali maana niliigiza kama 'Redio' nikiwa chini ya meza Maigizo Mawenzi Sekondari, Moshi.. Na sauti yangu nikimuigiza Kipozi, sikujua siku moja nitafanya naye kazi nikiwa katika fani moja na yeye. Kweli ilikua ni nguvu ya watawala. Wananchi na wanataaluma wa fani zote waliitikia wito, hata wasanii waliimba nyimbo za kuhamasisha mapambano dhidi ya rushwa! Umenifanya nitokwe machozi, nikiangalia jinsi rushwa ilivyogeuka kuwa kigezo muhimu katika kufanikisha mambo muhimu hata kuendesha siasa, uchumi na hata huduma! MUNGU INUSURU TANZANIA, Msaidie yeyote anayeitakia mema Tanzania yetu njema, Eee Mungu waangamize wanaoiangamiza Tanzania yetu njema kwa Ufisadi na Dhulma. Amin.
Mkuu wangu umenikumbusha mbali sana....

Unakukumbuka wimbo(jingle) wa kipindi cha Mikingamo?....

'Bomu limeshapasuka Mabepari wanahangaika, wahujumu wanatapatapa........Walanguzi nao wako ndai eeee'

'Nilikuwa mimi silali nikihangaishwa na mawazo.........Sababu ya hao walanguzi eee'

'Nikilala nikiamkaa.....Sukari haionekani'

'Nikilala nikiamkaa.......Sabuni haionekani'

'Nikilala nikiamka aaaaa......Mfauta hayaonekani'...

'Kumbe sababu ya walanguzi eeeeeee'.................

Aisee...........
 
Kule Znz kulikuja kipindi cha Mawio kiliendeshwa na Marine Hassan na baadae wengine, lakini kilizimwa kiana!! Shamsi Vuai akiwa Waziri Kiongozi alikitetea lakini akazidiwa nguvu. Lakini, pamoja na kuwa zama hizo walishughulikia dagaa, mfumo uliokuwapo uliwashughulikia hao 'vingunge' na Mwalimu Nyerere aliwaminya kweli kweli na wengine hadi leo wanajitutumia na laana ya Malimu, hadi tunagundua tena na mapya huko Arumeru kutoka kwa Steve.... Yetu Macho, tuendeleze Mikingamo yetu hapa JF
 
Mkuu wangu umenikumbusha mbali sana....

Unakukumbuka wimbo(jingle) wa kipindi cha Mikingamo?....

'Bomu limeshapasuka Mabepari wanahangaika, wahujumu wanatapatapa........Walanguzi nao wako ndai eeee'

'Nilikuwa mimi silali nikihangaishwa na mawazo.........Sababu ya hao walanguzi eee'

'Nikilala nikiamkaa.....Sukari haionekani'

'Nikilala nikiamkaa.......Sabuni haionekani'

'Nikilala nikiamka aaaaa......Mfauta hayaonekani'...

'Kumbe sababu ya walanguzi eeeeeee'.................

Aisee...........

We acha tu, mtoto anaenda shule anasema anataka kuwa "Fisadi" maana mafisadi ni watu wanaobebwa juu juu kwa mbeleko ya kodi zetu na wapiga filimbi wanabanwa.
 
Hata humu kuna hayo unayoyaita 'majungu' lakini katika majungu 100 utakuta 75 yana data unazoweza kupata ukweli. Kazi ya umma ni kuleta hayo 'majungu' na dola ni kuyafanyia kazi kwa HAKI na kukusanya ushahidi. Leo mtu anaambiwa alete ushahidi, raia mwema atapata wapi ushahidi wa kimahakama? Leo Chadema wanaambiwa wapeleke ushahidi wa rushwa Arumeru uliompitisha Siyoi lakini rushwa iliyoshindwa kumpitisha Sarakikya na wenzake, badala ya dola kuwasilisha ushahidi husika ama kuwafikisha wahusika mahakamani. Hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi yetu.
Halisi, William Sarakikya ana uhusiano na Gen. Sarakikya? Maana rushwa kweli ipo ila kwa leo hii haya maandishi yanafanya kazi kubwa sana kuliko "mikingamo" ya miaka ile
 
Nikiwa nimepumzika nikiwaza hili na lile juu ya uovu wa CCM kwa nchi yetu TZ,
na jinsi juhudi zinazochukuliwa na watawala ktk kushughulikia ufirauni wa CCM,
ghafla nikajikuta nakikumbuka hiki kipindi ambacho pengine ni wachache tu wanaoweza
kuwa wanakijua na kukikumbuka kwa jinsi kilivyokuwa mstari wa mbele
kuweka hadharani uovu wa watawala wa wakati ule bila woga kupitia RTD.

Najaribu kukumbuka maneno ya kibwagizo ya mtangazaji alokuwa akiendesha
kipindi, 'TUAMBIE NANI, YUKO WAPI NA ANAFANYA NINI KUENDELEZA RUSHWA,
ULANGUZI NA MAGENDO, NASI TUTAMTANGAZA HADHARANI...............hebu
malizieni hayo maneno plz! Kwa anayemkumbuka mtangazi mahsusi wa kipindi
kile anijuze please kwani nshamsahau! Nilikuwa nafurahishwa sana na lile
tarumbeta la muziki ulokuwa ukiambatana na kipindi hiki............'

Unayakumbuka haya maneno? 'Nikilala nikiamka aaaaaaaaah, mkaaaa hauonekani,
'Sasa vita imetangazwaaa jamaaa, wananchi wote tuwe imara', vijijini na mijini
tusisite kuwafichua wahujumu na walanguzi"............Aaaaaaaaaaaah, nchi imekwisha hiii
imebaki longolongo tu, Mwl kaondoka na kila chake, umebaki uzushi tupu!

J'mosi njema wakuu!

My take: Kwa watawala tulionao hivi sasa hakuna ambaye anaweza kuthubutu
kuanzisha na kukiendesha kipindi kama hiki kwa sasa na kukiendesha
kwa namna kilivyokuwa kikiendeshwa miaka ile ya 80!

Mkuu umenikumbusha mbali sana mkuu!
 
Halisi, William Sarakikya ana uhusiano na Gen. Sarakikya? Maana rushwa kweli ipo ila kwa leo hii haya maandishi yanafanya kazi kubwa sana kuliko "mikingamo" ya miaka ile

Ni majina tu yanafanana....Hawana uhuiano wowote...
 
Back
Top Bottom