ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Nikiwa nimepumzika nikiwaza hili na lile juu ya uovu wa CCM kwa nchi yetu TZ,
na jinsi juhudi zinazochukuliwa na watawala ktk kushughulikia ufirauni wa CCM,
ghafla nikajikuta nakikumbuka hiki kipindi ambacho pengine ni wachache tu wanaoweza
kuwa wanakijua na kukikumbuka kwa jinsi kilivyokuwa mstari wa mbele
kuweka hadharani uovu wa watawala wa wakati ule bila woga kupitia RTD.
Najaribu kukumbuka maneno ya kibwagizo ya mtangazaji alokuwa akiendesha
kipindi, 'TUAMBIE NANI, YUKO WAPI NA ANAFANYA NINI KUENDELEZA RUSHWA,
ULANGUZI NA MAGENDO, NASI TUTAMTANGAZA HADHARANI...............hebu
malizieni hayo maneno plz! Kwa anayemkumbuka mtangazi mahsusi wa kipindi
kile anijuze please kwani nshamsahau! Nilikuwa nafurahishwa sana na lile
tarumbeta la muziki ulokuwa ukiambatana na kipindi hiki............'
Unayakumbuka haya maneno? 'Nikilala nikiamka aaaaaaaaah, mkaaaa hauonekani,
'Sasa vita imetangazwaaa jamaaa, wananchi wote tuwe imara', vijijini na mijini
tusisite kuwafichua wahujumu na walanguzi"............Aaaaaaaaaaaah, nchi imekwisha hiii
imebaki longolongo tu, Mwl kaondoka na kila chake, umebaki uzushi tupu!
J'mosi njema wakuu!
My take: Kwa watawala tulionao hivi sasa hakuna ambaye anaweza kuthubutu
kuanzisha na kukiendesha kipindi kama hiki kwa sasa na kukiendesha
kwa namna kilivyokuwa kikiendeshwa miaka ile ya 80!
na jinsi juhudi zinazochukuliwa na watawala ktk kushughulikia ufirauni wa CCM,
ghafla nikajikuta nakikumbuka hiki kipindi ambacho pengine ni wachache tu wanaoweza
kuwa wanakijua na kukikumbuka kwa jinsi kilivyokuwa mstari wa mbele
kuweka hadharani uovu wa watawala wa wakati ule bila woga kupitia RTD.
Najaribu kukumbuka maneno ya kibwagizo ya mtangazaji alokuwa akiendesha
kipindi, 'TUAMBIE NANI, YUKO WAPI NA ANAFANYA NINI KUENDELEZA RUSHWA,
ULANGUZI NA MAGENDO, NASI TUTAMTANGAZA HADHARANI...............hebu
malizieni hayo maneno plz! Kwa anayemkumbuka mtangazi mahsusi wa kipindi
kile anijuze please kwani nshamsahau! Nilikuwa nafurahishwa sana na lile
tarumbeta la muziki ulokuwa ukiambatana na kipindi hiki............'
Unayakumbuka haya maneno? 'Nikilala nikiamka aaaaaaaaah, mkaaaa hauonekani,
'Sasa vita imetangazwaaa jamaaa, wananchi wote tuwe imara', vijijini na mijini
tusisite kuwafichua wahujumu na walanguzi"............Aaaaaaaaaaaah, nchi imekwisha hiii
imebaki longolongo tu, Mwl kaondoka na kila chake, umebaki uzushi tupu!
J'mosi njema wakuu!
My take: Kwa watawala tulionao hivi sasa hakuna ambaye anaweza kuthubutu
kuanzisha na kukiendesha kipindi kama hiki kwa sasa na kukiendesha
kwa namna kilivyokuwa kikiendeshwa miaka ile ya 80!