Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,772
- 23,209
Nimekaa nasikiliza kpindi cha jahazi jamani kwanza wakaanza na topic ya leo usalama na umuimu wa kujihami na ajali zisizo na faida,nikajiuliza zipi zenye faida
baada ya hapo akaanza kuelezea mapungufu ya polisi likiwemo swala la kupokea rushwa
na utoaji leseni kwa watu wasio na uwezo ..akaanza kuelezea swala la leseni anapopewa mlemavu
wale wanaotoa wanamtakia nini ...akaeleza mengi ikiwemo leseni za kuendesha daldala wanaendesha
malori za magari madogo wanaendesha dala dala
mh kibonde akuishia hapo tu akasema anashangaa jeshi la polisi kusubiri mpaaka ajali itokee ndio
wanajitangaza kuimarisha ulinzi barabarani,akasema kwa nini mpaka mtu afe bana eeeh eehh na ameondoka huyu akishaulika kidogo tu wanaleegeza masharti mwendo wa kasikama kawa
akatuma msg mtu mmoja kuuliza kwa nini dadaetu aliachiwa ama kupewa leseni akusita kujibu nikweli na kama umenisikia nimeshangaa sana sana kwa nini na nani amemkabidhi na je ni mpaka afe mtu ndio wanajua mapungufu yao....
Ingawa ametoa pole baada ya kumaliza yaliyomo moyoni mwisho namshauri si vyema kuongelea amtu aliefika kwa babake alie juu kazi kwenu mlio hai mnaoshinda bar na kuacha familia zenu mwisho mnaacha gari bar mnakodisha tax kurudi nyumban
baada ya hapo akaanza kuelezea mapungufu ya polisi likiwemo swala la kupokea rushwa
na utoaji leseni kwa watu wasio na uwezo ..akaanza kuelezea swala la leseni anapopewa mlemavu
wale wanaotoa wanamtakia nini ...akaeleza mengi ikiwemo leseni za kuendesha daldala wanaendesha
malori za magari madogo wanaendesha dala dala
mh kibonde akuishia hapo tu akasema anashangaa jeshi la polisi kusubiri mpaaka ajali itokee ndio
wanajitangaza kuimarisha ulinzi barabarani,akasema kwa nini mpaka mtu afe bana eeeh eehh na ameondoka huyu akishaulika kidogo tu wanaleegeza masharti mwendo wa kasikama kawa
akatuma msg mtu mmoja kuuliza kwa nini dadaetu aliachiwa ama kupewa leseni akusita kujibu nikweli na kama umenisikia nimeshangaa sana sana kwa nini na nani amemkabidhi na je ni mpaka afe mtu ndio wanajua mapungufu yao....
Ingawa ametoa pole baada ya kumaliza yaliyomo moyoni mwisho namshauri si vyema kuongelea amtu aliefika kwa babake alie juu kazi kwenu mlio hai mnaoshinda bar na kuacha familia zenu mwisho mnaacha gari bar mnakodisha tax kurudi nyumban