Kipigo na mahusiano ni upuuzi

Kipigo na mahusiano ni upuuzi

trisha cute

Senior Member
Joined
Dec 1, 2020
Posts
194
Reaction score
608
Ni aibu kioo Cha jamii kuandika utopolo Kama huu as if it's funny when its not
Back those days I remember nilikua bado mdogo sana naishi na dada yangu nilikua nikiishuhudia dada yangu akipigwa Kama mbwa , bad thing there was a day alipigwa mpaka mimba ikatoka mbele ya macho yangu huku damu zikimbubujika

Mwanaume akafunya chochote Zaid ya kumfukuza akawa bado anamn'gang'ania akiamini it's love until then there was a day alimchoma na bisibisi ndio akaamka usingizini na kujua hakukua na love then she dicided to walk way na Mungu mwema akapata someone better
Nilivoona hii post ikanikumbuka enzi hizo niliposhuudia vile vipigo then nikajiuliza huyu mtu Kama public figures amewaza Nini mpaka kuandika haya sijapata jibu mpaka Sasa

All I know is mapenzi yoyote yanayohusiana na ngumi ndani yake , sio sahihi na sio salama no matter what yani KIPIGO kidogo tu ndo Nini Yani hicho KIPIGO kidogo!!!? hii post ya huyu mkatwaji utumbo imeniharibia siku kiukweli

PS. Wewe mdau Nini maoni Yako juu ya huyu balozi wa kukata utumbo?
Screenshot_20210909-211114_1.jpg

Nakumbuka zamani wakati naanza mapenzi na mwanaume flani, alishanitamkia hajawahi na hatowahi kumpiga mwanamke... Ila kwangu bwana akagonga mwamba na hicho kiapo... Kiukweli nili enjoy sana...😂😂😂

Moral of the story: Kupigwa na baby wako kuna raha yake, haswa pale kwenye kubembelezana... Ila sasa sio tupigane kama wezi... Kidogo tu sio mbaya... Alafu iwe mara moja moja sio Daily... 😉😉😉

Sio lazima wote tufanane... Kuna wasio penda kupigwa ila as for me, kushtua shtua one tym one tym is very Healthy jamani....
 
Ni aibu kioo Cha jamii kuandika utopolo Kama huu as if it's funny when its not
Back those days I remember nilikua bado mdogo sana naishi na dada yangu nilikua nikiishuhudia dada yangu akipigwa Kama mbwa , bad thing there was a day alipigwa mpaka mimba ikatoka mbele ya macho yangu huku damu zikimbubujika

Mwanaume akafunya chochote Zaid ya kumfukuza akawa bado anamn'gang'ania akiamini it's love until then there was a day alimchoma na bisibisi ndio akaamka usingizini na kujua hakukua na love then she dicided to walk way na Mungu mwema akapata someone better
Nilivoona hii post ikanikumbuka enzi hizo niliposhuudia vile vipigo then nikajiuliza huyu mtu Kama public figures amewaza Nini mpaka kuandika haya sijapata jibu mpaka Sasa

All I know is mapenzi yoyote yanayohusiana na ngumi ndani yake , sio sahihi na sio salama no matter what yani KIPIGO kidogo tu ndo Nini Yani hicho KIPIGO kidogo!!!? hii post ya huyu mkatwaji utumbo imeniharibia siku kiukweli

PS. Wewe mdau Nini maoni Yako juu ya huyu balozi wa kukata utumbo?
View attachment 1930986
Punguza Jazba Mbona Mwenyewe kaandika vizuri tu na Ashasema sio lazima Mfanane sasa we Kiherehere chako tu Kujifanya unataka kumuweka sawa wakati mwenyewe kaongelea kwa Upande wake na kasema sio lazima Mfanane haya we Nini unataka labda, Jazba zako ukimwambia wema hivyo Utaambulia mitusi akili ikukae sawa Maana yeye keshasema tena huo ugomvi aliutaka mwenyewe na mwanaume hakuwa mtu wa Hivyo Tatizo unaleta Mihemko sehem siyo

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Punguza Jazba Mbona Mwenyewe kaandika vizuri tu na Ashasema sio lazima Mfanane sasa we Kiherehere chako tu Kujifanya unataka kumuweka sawa wakati mwenyewe kaongelea kwa Upande wake na kasema sio lazima Mfanane haya we Nini unataka labda

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Ni kawaida yenu wakurya kusema hivyo haya nenda kapige mwanamke wako Sasa
 
Umekuja hapa ukiwa umeashajiandaa kusemea vitu vya mtazamo wako, jinsi ulivoshindwa kwenye mapenzi na unataka kuwachota wenzako wakufate. Dada umepigiwa mpira mwingi sana na shetani.
Wapo watu hapa wanafurahia ndoa na mahusiano yao sana. Kaa chini jitafakari P2 zitakumaliza
 
wanawake wanavutiwa na mwanaume anawatia adabu. huu ukweli wanaume weng8 hawaujui
Kuna nyakati za kusimama kama mwanaume, ajue kabisa hupendi ujinga, ajue kabisa ukikasirika unakuaje.


Ila ktk hayo yote, sio kipigo cha ngumi na mateke

Mimi niliwah mkaba mtu , nikamtia makofi tu , tulijibishana, akatoa mwiko alokua anasongea ugali ,ukiwa bado na ule ujiuji wa ugali, akanitwanga nao, uzuri nilitenga mkono.


Baada ya hapo, nilimshika, nkampleka ukutani, Nikamtia makofi ,akaomba msamaha hapohapo.


Akarudi kupika, Tukala, na mzigo nikala ,mambo yakaenda .


ILA NGUMI, MATEKE, MABANZI, HAPANAAA, UTAUA, ALAFU UOZEE JELA.


nikm juzi, kaja Mdada kaletwa, mguu umeteguka, anakohoa Damu

Nini????? Aliyekua mume wake wa njoo tuishi, kamkuta njiani, kaanza kumpa kipigo cha mateke, ngumi ..ilibidi Raia watake kumchoma moto huyo Mume, jamaa akawah boda akatoka nduki.



KUNA MAHALI MKIFIKIA, ACHANENI, NAHASA WANAWAKE , MWANAMKE AKICHAKUCHUKULIA POAA, YAAN AKIKUDHARAU?? AKAKUCHUKULIA POAAAA.



ACHANA NAYE MAPEMA ... UTAUA BURE ,AU UTAKUFA BUREE...KTK HIYO POINT, KIPIGO, WALA NN, HAKITOKAA KAMWE KIMBADILISHE .
 
Ni aibu kioo Cha jamii kuandika utopolo Kama huu as if it's funny when its not
Back those days I remember nilikua bado mdogo sana naishi na dada yangu nilikua nikiishuhudia dada yangu akipigwa Kama mbwa , bad thing there was a day alipigwa mpaka mimba ikatoka mbele ya macho yangu huku damu zikimbubujika

Mwanaume akafunya chochote Zaid ya kumfukuza akawa bado anamn'gang'ania akiamini it's love until then there was a day alimchoma na bisibisi ndio akaamka usingizini na kujua hakukua na love then she dicided to walk way na Mungu mwema akapata someone better
Nilivoona hii post ikanikumbuka enzi hizo niliposhuudia vile vipigo then nikajiuliza huyu mtu Kama public figures amewaza Nini mpaka kuandika haya sijapata jibu mpaka Sasa

All I know is mapenzi yoyote yanayohusiana na ngumi ndani yake , sio sahihi na sio salama no matter what yani KIPIGO kidogo tu ndo Nini Yani hicho KIPIGO kidogo!!!? hii post ya huyu mkatwaji utumbo imeniharibia siku kiukweli

PS. Wewe mdau Nini maoni Yako juu ya huyu balozi wa kukata utumbo?
View attachment 1930986
kunywa maji kwanza kisha fungua mapazia ma milango upumue utakuja kutufia bure hatuna pakukuweka maana naona unaandika hadi mishipa ya shingo inakusimama ila majibu yangu na msimamo wangu ni moja kuwa dawa ya mwanamke jeuri ni kipigo tu! hamna msalia mtume hayo ya mimba kutoka ni matokeo ila nasisitiza dawa ya mwanamke jeuri ni kupigwa tuuu
 
kunywa maji kwanza kisha fungua mapazia ma milango upumue utakuja kutufia bure hatuna pakukuweka maana naona unaandika hadi mishipa ya shingo inakusimama ila majibu yangu na msimamo wangu ni moja kuwa dawa ya mwanamke jeuri ni kipigo tu! hamna msalia mtume hayo ya mimba kutoka ni matokeo ila nasisitiza dawa ya mwanamke jeuri ni kupigwa tuuu
Sasa kama mjeuri si umuache ukachukue mtiifu? Ukiona jeuri ujue amekudharau na kipigo hakifanyi akuheshimu atakua tu ana kuogopa.
 
Kuna nyakati za kusimama kama mwanaume, ajue kabisa hupendi ujinga, ajue kabisa ukikasirika unakuaje.


Ila ktk hayo yote, sio kipigo cha ngumi na mateke

Mimi niliwah mkaba mtu , nikamtia makofi tu , tulijibishana, akatoa mwiko alokua anasongea ugali ,ukiwa bado na ule ujiuji wa ugali, akanitwanga nao, uzuri nilitenga mkono.


Baada ya hapo, nilimshika, nkampleka ukutani, Nikamtia makofi ,akaomba msamaha hapohapo.


Akarudi kupika, Tukala, na mzigo nikala ,mambo yakaenda .


ILA NGUMI, MATEKE, MABANZI, HAPANAAA, UTAUA, ALAFU UOZEE JELA.


nikm juzi, kaja Mdada kaletwa, mguu umeteguka, anakohoa Damu

Nini????? Aliyekua mume wake wa njoo tuishi, kamkuta njiani, kaanza kumpa kipigo cha mateke, ngumi ..ilibidi Raia watake kumchoma moto huyo Mume, jamaa akawah boda akatoka nduki.



KUNA MAHALI MKIFIKIA, ACHANENI, NAHASA WANAWAKE , MWANAMKE AKICHAKUCHUKULIA POAA, YAAN AKIKUDHARAU?? AKAKUCHUKULIA POAAAA.



ACHANA NAYE MAPEMA ... UTAUA BURE ,AU UTAKUFA BUREE...KTK HIYO POINT, KIPIGO, WALA NN, HAKITOKAA KAMWE KIMBADILISHE .
umeelezea vizuri sana brother. adhabu iwepo lakin kiasi. ila kuna scenario uko nae kwenye ndoa halaf analeta hizo swags.. hapo makofi lazima
 
Kuna njia nyingi za kutiana adabu sio mpaka vipigo. Na hiko kipigo sio kofi moja ni mangumi na mateke. Kwakweli pole yake mkeo
one things nimejifunza mwanamke huwa anapenda kutikisa kiberiti. na hiyo inakuja naturaly.
akikukuta mwanaume uko weak, lege lege.. yaani kila anachofanya mwanaume unaitikia tu yes? lazima akudharau.
adab kidogo itatosha.. sizungumzii ya kuvunjana. ila lazima ajue uwepo wako.. kwamba akizingua ajirekebishe haraka au yamkute ya kumkuta
 
Back
Top Bottom