Half London
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 261
- 115
Habari zenu wanajamvi wenzangu. Leo nimeona nije na hili. Nataka kujua track ipi hapo juu inabamba sana kuanzia kiitikio,kughani na mashairi. Karibuni sana
Habari zenu wanajamvi wenzangu. Leo nimeona nije na hili. Nataka kujua track ipi hapo juu inabamba sana kuanzia kiitikio,kughani na mashairi. Karibuni sana
hao jamaa wote wamefulia kimziki si wale wa miaka ilee yaani utadhani ni underground artists mfano jay kwenye mashairi ya kipi sijasikia amendika vizuri sana lakin kwenye production hamna kitu japo amefanya na p funky na kumshirika diamond ambaye kwa sasa anafanya vizuri.
Mziki mbali na ujumbe unahitaji radha na ndo maana wavuta bangi kama ney wanaimba pumba lakin kwenye club na vilabuni ukosi kitu nakula ujana. Si hao tu wako wengi fani imewatupa ila hajajishtukia.