Poakipi kinazalisha tani nyingi kwa siku na kipi kinajitosheleza kwa kila kitu na nini tofauti ya 32.5R na 32.5N au 42.5N na 42.5R kwa nini inayotumika zaidi kwenye soko ni 32.5R au 42.5R hii 32.5N au 42.5N ni nadra sana kuiyona
MWANANCHI nijengee cement ya MBUMBUMBU...!!!Twiga Wanazarisha zaidi kuliko Simba, Twiga wana Viwanda 2 kwa wakati mmoja na vyote vinafanya kazi, kuna Kiwanda cha zamani cha Mjerumani, na kiwanda kipya kilichojengwa na Mchina...!
Mbumbumbu ndio mchina?MWANANCHI nijengee cement ya MBUMBUMBU...!!!
NEVER.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app