Lugano Edom
Senior Member
- Dec 2, 2021
- 161
- 298
Acha kabisa maumivu yake hayaelezeki11β¦kujigonga kidole cha mwisho cha mguuni kwenye kona ya kitanda au mlango wa kutokea chooni
Hahahhπππ,. Au ujigonge kwenye goti nyieeAcha kabisa maumivu yake hayaelezeki
Naelewa vizuri au kwa sisi wanaume upigwe mbupu πHahahhπππ,. Au ujigonge kwenye goti nyiee
Eti nasikia inauma sana ππ,. Wakati Niko mdogo shuleni nilimpiga mtoto wa mwalimu na Mpira kwenye hizo nanilii aisee alilia hadi kamasi,. Nilichapwa na baba akeπ€£π€£Naelewa vizuri au kwa sisi wanaume upigwe mbupu π
Maumivu yake hayaelezeki unaweza kutamani uyakate yatoke kabisa πEti nasikia inauma sana ππ,. Wakati Niko mdogo shuleni nilimpiga mtoto wa mwalimu na Mpira kwenye hizo nanilii aisee alilia hadi kamasi,. Nilichapwa na baba akeπ€£π€£
Bahati mbaya tu nilirusha mpira yeye akapita ukamvagaa huko chini wee alipiga ukonga huo hadi kila mtu alitulia tuliii ππ πMaumivu yake hayaelezeki unaweza kutamani uyakate yatoke kabisa π
Ulikuwa unatafuta nini huko kwenye makhaghari π
π usirudie maana ni hatari kwa afya ya uzazi wa kiumeBahati mbaya tu nilirusha mpira yeye akapita ukamvagaa huko chini wee alipiga ukonga huo hadi kila mtu alitulia tuliii ππ π
5 na 10 ikisababishwa na mtu uliyemuamini sanaKipi kinauma sana MOYONI:
1.Kudharauliwa.
2.Kumpenda mtu asiyekupenda
3.Kuwa mpweke.
4.Kutofurahiwa na watu.
5.Kufeli mitihani.
6.Kumpoteza mtu muhimu.
7.Kumuona umpendae akiwa na mpenzi mwingine.
8.Kumsubiria mtu fulani bila matumaini.
9.Kumpenda mtu lakini huwezi kumwambia.
10.Kushindwa na maisha
Foward Kwa Wengne Uone Kinacho Watesa Wengi Ni Kipi. Ila Nijibu Mimi Kwanza!
........