MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,710
- 1,660
Mayotte votes on ties with France
Leo hii Visiwa vya Mayotte wanapiga kura kama wapate uhuru au waendelee kuwa chini ya Mfaransa!
Chini ya Mfaransa visiwa hivi vyenye watu 200,000 Politically have been Stable unlike Komoro ambao walipenda kuwa huru 1970's ambapo kumekuwa na mapinduzi zaidi ya mara 20!
Kiuchumi Mayotte per capita income ni karibu mara 10 zaidi ya jirani zao Comoro ingawa 50% wa watu hawajui kusoma wala kuandika!
Inavyoonekana Mayotte watapiga kura kuendelea kuwa chini ya Mkoloni!
Hiii imekaaje?
Lipi Bora: Mkoloni au Uhuru? Hivi nchi za Afrika na Tz leo watu wakiulizwa wanapenda Mwingireza/ukoloni au tuendelee kuwa uhuru je watu wangeamuje?
Nini Tanzania tunaweza kujifunza hapo?
BBC NEWS | Europe | Mayotte votes on ties with France
Mayotte votes on ties with France
Leo hii Visiwa vya Mayotte wanapiga kura kama wapate uhuru au waendelee kuwa chini ya Mfaransa!
Chini ya Mfaransa visiwa hivi vyenye watu 200,000 Politically have been Stable unlike Komoro ambao walipenda kuwa huru 1970's ambapo kumekuwa na mapinduzi zaidi ya mara 20!
Kiuchumi Mayotte per capita income ni karibu mara 10 zaidi ya jirani zao Comoro ingawa 50% wa watu hawajui kusoma wala kuandika!
Inavyoonekana Mayotte watapiga kura kuendelea kuwa chini ya Mkoloni!
Hiii imekaaje?
Lipi Bora: Mkoloni au Uhuru? Hivi nchi za Afrika na Tz leo watu wakiulizwa wanapenda Mwingireza/ukoloni au tuendelee kuwa uhuru je watu wangeamuje?
Nini Tanzania tunaweza kujifunza hapo?
BBC NEWS | Europe | Mayotte votes on ties with France
Kwa mtazamo wangu naona bora ukoloni, ninasema hivi nikiwa na sababu za kutosha.
pamoja na kwamba ukoloni unamambo yake ikiw ani pamoja na kuwa kibaraka wa mkoloni, lakini kwa sisi nchi za afrika naona ukoloni ndio njia ya pekee ya kutuletea maendeleo na kutuwezesha kufanikiwa.
Mfano, tokea wakoloni waondoke kwenye nchi zetu hakuna maendeleo yoyote ya miundombinu yaliofanyika kwa zaidi ya miaka hamsini sasa na hata ile tuliyoachiwa tumeshindwwa hata kuiendeleza.
Angalia Reli tu kwa mfano. Mpaka leo hii nchi kama tanzania imeshindwa hata kujenga reli ya kilometa kumi tu zaidi ya ile reli tuliojengewwa na wakoloni.
Angalia Viwanja vya ndege, angalia hospotali kubwa (KCMC, Bugando), angalia shule nzuri (Pugu, Iliboru, Umbwe, Tosamaganga, etc). Angalia Chuo kikuu cha Dar es Salaam. hivyo vyote vilijengwa na wakoloni.
Tunzungumzie kilimo, wakoloni wao ndio walio tuletea Kahawa, Mkonge pamoja na mazao mengine ya biashara. Leo hii angalia yale mashamba ya mkonge au ya kahawa yalioanzishwa na wakoloni yapo wapi?
Viwanda je? (Viwanda vya kahawa, viwanda vya sukari, viwanda vya ngozi) etc.
Wakati wa ukoloni kulikua hakuna ufisadi, indeed wale waliokua wanaonekana kuwa ni wakatili au waliokua wakipinga amri walinyingwa mbele ya umali, ili kukomesha tabia za ajabu na zisizoeleweka kwenye jamii. Leo hii, kuwa fisadi ni dili tena ni heshima kwenye jamii.
Tulilia kuw ahuru, sasa angalia kinachotupata sasa UKOLONI MAMBOLEO ambao ndio mbaya kabisa. Huu ukoloni mabo leo ndio unakuja na sera za hata kuangamiza vile viwanda na miundo mbinu michache waliojenga.
Mimi namuunga mkono mangi Meli ambaye alipingana na Nyerere akimwambia yeye haoni sababu ya kuwa huru na kuwa masikini, ni bora aendelee kutawaliwa lakini yeye na wananchi wake wawe na maisha bora.
Wachilia mbali ukoloni, tuzungumzie hata kule Iraq ambako sadam alikua Dictator. Wamarekani na washirika zake walijiunga wakamuondoa Sadam madarakani kwa kisingizio hicho cha kuondoa Ukoloni wa Kidicteta wa Sadam na Kuweka Uhuru wa Democrasia. Leo hii Iraq iko wapi?
The same applies to us, Tanzania and Afrika at large, tulitaka uhuru, akini leo hii tuko wapi?
Mayotte votes on ties with France
Leo hii Visiwa vya Mayotte wanapiga kura kama wapate uhuru au waendelee kuwa chini ya Mfaransa!
Chini ya Mfaransa visiwa hivi vyenye watu 200,000 Politically have been Stable unlike Komoro ambao walipenda kuwa huru 1970's ambapo kumekuwa na mapinduzi zaidi ya mara 20!
Kiuchumi Mayotte per capita income ni karibu mara 10 zaidi ya jirani zao Comoro ingawa 50% wa watu hawajui kusoma wala kuandika!
Inavyoonekana Mayotte watapiga kura kuendelea kuwa chini ya Mkoloni!
Hiii imekaaje?
Lipi Bora: Mkoloni au Uhuru? Hivi nchi za Afrika na Tz leo watu wakiulizwa wanapenda Mwingireza/ukoloni au tuendelee kuwa uhuru je watu wangeamuje?
Nini Tanzania tunaweza kujifunza hapo?
BBC NEWS | Europe | Mayotte votes on ties with France
Kwa mtazamo wangu naona bora ukoloni, ninasema hivi nikiwa na sababu za kutosha.
pamoja na kwamba ukoloni unamambo yake ikiw ani pamoja na kuwa kibaraka wa mkoloni, lakini kwa sisi nchi za afrika naona ukoloni ndio njia ya pekee ya kutuletea maendeleo na kutuwezesha kufanikiwa.
Mfano, tokea wakoloni waondoke kwenye nchi zetu hakuna maendeleo yoyote ya miundombinu yaliofanyika kwa zaidi ya miaka hamsini sasa na hata ile tuliyoachiwa tumeshindwwa hata kuiendeleza.
Angalia Reli tu kwa mfano. Mpaka leo hii nchi kama tanzania imeshindwa hata kujenga reli ya kilometa kumi tu zaidi ya ile reli tuliojengewwa na wakoloni.
Angalia Viwanja vya ndege, angalia hospotali kubwa (KCMC, Bugando), angalia shule nzuri (Pugu, Iliboru, Umbwe, Tosamaganga, etc). Angalia Chuo kikuu cha Dar es Salaam. hivyo vyote vilijengwa na wakoloni.
Tunzungumzie kilimo, wakoloni wao ndio walio tuletea Kahawa, Mkonge pamoja na mazao mengine ya biashara. Leo hii angalia yale mashamba ya mkonge au ya kahawa yalioanzishwa na wakoloni yapo wapi?
Viwanda je? (Viwanda vya kahawa, viwanda vya sukari, viwanda vya ngozi) etc.
Wakati wa ukoloni kulikua hakuna ufisadi, indeed wale waliokua wanaonekana kuwa ni wakatili au waliokua wakipinga amri walinyingwa mbele ya umali, ili kukomesha tabia za ajabu na zisizoeleweka kwenye jamii. Leo hii, kuwa fisadi ni dili tena ni heshima kwenye jamii.
Tulilia kuw ahuru, sasa angalia kinachotupata sasa UKOLONI MAMBOLEO ambao ndio mbaya kabisa. Huu ukoloni mabo leo ndio unakuja na sera za hata kuangamiza vile viwanda na miundo mbinu michache waliojenga.
Mimi namuunga mkono mangi Meli ambaye alipingana na Nyerere akimwambia yeye haoni sababu ya kuwa huru na kuwa masikini, ni bora aendelee kutawaliwa lakini yeye na wananchi wake wawe na maisha bora.
Wachilia mbali ukoloni, tuzungumzie hata kule Iraq ambako sadam alikua Dictator. Wamarekani na washirika zake walijiunga wakamuondoa Sadam madarakani kwa kisingizio hicho cha kuondoa Ukoloni wa Kidicteta wa Sadam na Kuweka Uhuru wa Democrasia. Leo hii Iraq iko wapi?
The same applies to us, Tanzania and Afrika at large, tulitaka uhuru, akini leo hii tuko wapi?
Mayotte votes on ties with France
Leo hii Visiwa vya Mayotte wanapiga kura kama wapate uhuru au waendelee kuwa chini ya Mfaransa!
Chini ya Mfaransa visiwa hivi vyenye watu 200,000 Politically have been Stable unlike Komoro ambao walipenda kuwa huru 1970's ambapo kumekuwa na mapinduzi zaidi ya mara 20!
Kiuchumi Mayotte per capita income ni karibu mara 10 zaidi ya jirani zao Comoro ingawa 50% wa watu hawajui kusoma wala kuandika!
Inavyoonekana Mayotte watapiga kura kuendelea kuwa chini ya Mkoloni!
Hiii imekaaje?
Lipi Bora: Mkoloni au Uhuru? Hivi nchi za Afrika na Tz leo watu wakiulizwa wanapenda Mwingireza/ukoloni au tuendelee kuwa uhuru je watu wangeamuje?
Nini Tanzania tunaweza kujifunza hapo?
BBC NEWS | Europe | Mayotte votes on ties with France