Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Bonjour friends! Natumai mu wazima wa roho mwili pamoja na akili.
Bibie sina mengi zaidi ya kuwauliza ju ya hii kituz iitwayo mahusiano/mapenzi/urafiki wa karibu zaidi n.k.
Wajameni kipi bora endapo mpenzi wako hapatikani online siku nzima au anapatikana lakini ukipiga hapokei simu? Na kwa akili ya kibinadamu utawaza nini juu ya huko kutopatikana/ kutopokea simu?
4 days now no communication between us. nashindwa kuelewa kabisaaa. Eyesu nisaidie!
Bibie sina mengi zaidi ya kuwauliza ju ya hii kituz iitwayo mahusiano/mapenzi/urafiki wa karibu zaidi n.k.
Wajameni kipi bora endapo mpenzi wako hapatikani online siku nzima au anapatikana lakini ukipiga hapokei simu? Na kwa akili ya kibinadamu utawaza nini juu ya huko kutopatikana/ kutopokea simu?
4 days now no communication between us. nashindwa kuelewa kabisaaa. Eyesu nisaidie!