Mkuu PhD acha kumix mamboukipata fursa ya kufanya kazi ya kudumu hatakama una Elimu wewe unayoiita ndogo fanya kazi..utajiendeleza.
unaweza soma mpaka Phd hlf ajira zenyewe ndiyo hizi za kulenga kwa manati.
Lakini pia kila mtu afuate kile anachokiamini.