Siwaelewi. Yeye kalalamika au nyie mnalalamika? Mnajua walikoanzia mpaka amfulie? Hayo ni mapenzi yao; kama wewe kumfulia mke wako ni dhambi lakini yeye akikufulia ni haki ni wewe na hakuna siku atakuja kukulazimisha mkeo akufulie lakini mapenzi is two way traffic. Unachopenda kufanyiwa na wewe mfanyie mpenzi wako vinginevyo ni ubabe au ufisadi wa mapenzi tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.