Spika anakitambua Kiti cha CAG lakini hamtambui alhaj Assad!Nimekutana na hii picha lkn nimeshindwa kuigundua inawasilisha jambo gani
Kwa wenye ubongo mkali naomba tujuzaneView attachment 1065307
In God we trust
Atafanya kazi na ofisi ya CAG, na si CAG mwenyewe.Nimekutana na hii picha lkn nimeshindwa kuigundua inawasilisha jambo gani
Kwa wenye ubongo mkali naomba tujuzaneView attachment 1065307
In God we trust
Kikatiba hakuna ofisi ya CAG usisahau hilo!
Hao hapo nyuma pembeni ni wanachama chao lakini nao wanashangaa
Spika anakitambua Kiti cha CAG lakini hamtambui alhaj Assad!
Kwani wewe unatambuaje?Spika anakitambua Kiti cha CAG lakini hamtambui alhaj Assad!