Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
<!-- google_ad_section_start(weight=ignore) -->Kibo10<!-- google_ad_section_end -->,.....bado wanajadili namna ya kuzibadili alama hizi, ngoja kwanza "makundi" yapambane!!
Ngalikihinja ... nilikuwa bado sijaishtukia hio picha ... wewe ndio umenizinduaNaona kama kuna mavivuli ya ma-Kinana vilee......
....kuna mambo makubwa mawili ambayo ni dhahiri yanawachelewesha ccm kufanya mabadiliko ya alama hizi. Hapana, ni mambo matatu yanayowachelewesha kama siyo manne, nayo ni:Marekebisho yanakuja hadi rangi yake
nadhani kwenye jembe&nyundo panaweza
wekwa Tembo&Dhahabu.
Huyu KP "mchokozi" sana!Naona kama kuna mavivuli ya ma-Kinana vilee......
waweke menu ya tembo na madawa ya kulevya.
Teh teh teh!!, mkuu una mcho sana. Mandovu.Naona kama kuna mavivuli ya ma-Kinana vilee......