Kipanya unaakili sana!

Kipanya unaakili sana!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
1044512_478906252216094_141267578_n.jpg
 
Kwa kweli Kipanya yuko wazi na hamumunyi maneno wala kupepesa macho, kwake yeye ni kupiga za uso na kusonga mbele...
 
Marekebisho yanakuja hadi rangi yake
nadhani kwenye jembe&nyundo panaweza
wekwa Tembo&Dhahabu.
....kuna mambo makubwa mawili ambayo ni dhahiri yanawachelewesha ccm kufanya mabadiliko ya alama hizi. Hapana, ni mambo matatu yanayowachelewesha kama siyo manne, nayo ni:
  • kasi ya ajabu ya M4C-Oparesheni Pamoja Daima
  • spidi ya EL kwenda ikulu...
  • bunge la katiba....

 
Back
Top Bottom