huyu jamaa huwa najiuliza hata uwezo wake wa kufikiria sipatagi jibu huwa nacheka sana.
always wachoraji wanafikilia vile ambavyo mtu wa kawaida hafikilii, kuna kitu mungu kaweka kwao.
Anatafuta umaarufu kwa njia ya upotoshaji...
Sio kweli, kipanya tayari ni maarufu kuliko wewe.
Anatafuta umaarufu kwa njia ya upotoshaji...
Hivi uko humu kupinga kila kitu?