Watunga sheria wetu wanachukua mshahara wa sh. 10,000,000 na posho nyingine kibao wakikopeshwa magari na kulipiwa mafuta. Kila baada ya miaka mitano wanapata kiinua mgongo cha 45,000,000. Sisi wanataka tukadai mafao baada ya kufa au kufikia umri wa kufa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.