Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ni kama anashindwa kuelewa ni vipi atayaamini maneno ya waziri husika.
Waziri wa fweezaaa anasema wamekusanya 48 billion kupitia tozo pekee kwa mwezi.
Sasa kipanya ana mashaka na kauli hiyo ya waziri lkn bado babake anamsihi sana akae kimya maana kuulizia ulizia matamko ya wakubwa ni hatari.
Waziri wa fweezaaa anasema wamekusanya 48 billion kupitia tozo pekee kwa mwezi.
Sasa kipanya ana mashaka na kauli hiyo ya waziri lkn bado babake anamsihi sana akae kimya maana kuulizia ulizia matamko ya wakubwa ni hatari.