Kipanya na hatima ya Wanahabari

Wana habari waliogoma.kuwasemea na kuwatetea wenzao, sasa wanaisha na waonpia, and there is none remaining kumsemea, na yeye atatoweka soon!!
Msanii maarufu wa katuni ajulikanaye kama Kipanya leo hii ametuletea kisa cha hatma ya wana habari na vyombo vyake.

Je huyo nyoka anawakilisha nini au ni nani?

View attachment 1499717
Wanaga
 
Kwani kwa mtazamo wako hiyo picha inahusiana vipi na uhuru wa kutoa mawazo?
Muda huo huo akihojiwa na aljazeera anasema kabanwa, haruhusiwi kupost haya mambo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…