Kipanya: M21, M29, M38, M40 na M66

Kipanya: M21, M29, M38, M40 na M66

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,439
Reaction score
50,165
1743564385480.png
 
Ukitazama picha utaona magufuli akupokea deni hakuluongeza ...kalivusha kama lilivyo
 
Maraisi walio tangulia wote walikopa weee wanamtishwa mama mzigo mkubwa wa deni.

Ndio maana yeye NI Rais, tutategemea kuona akili kubwa ikifanya kazi na kuleta matokeo.

URais unataka mtu kichwa mwenye akili nyingi sio mtu Tu wa kawaida.
URais sio position yakuonewa onewa huruma.
 
Back
Top Bottom