K Kifulambute JF-Expert Member Joined May 8, 2011 Posts 2,539 Reaction score 762 May 25, 2012 #21 Kwa nini JK hamteui Kipanya kuwa mkuu wa mkoa/wilaya?
B Bubona JF-Expert Member Joined Aug 31, 2011 Posts 448 Reaction score 93 May 25, 2012 #22 Kama taifa tuna wajibu wa kuondokana na aibu hii!!
Chepii Senior Member Joined Mar 7, 2011 Posts 101 Reaction score 14 May 25, 2012 #23 Jambo lakushangaza Serikali huwainajitahidi kuwafukuza ombaomba mijini, nakusahau kuwa na yenyewe ni ombaomba!
Jambo lakushangaza Serikali huwainajitahidi kuwafukuza ombaomba mijini, nakusahau kuwa na yenyewe ni ombaomba!
M MpendaTz JF-Expert Member Joined May 15, 2009 Posts 2,231 Reaction score 937 May 25, 2012 #24 Kweli tupu Kipanya! Natamani ningeitumia kama avatar yangu!
C Cola Member Joined Oct 10, 2007 Posts 41 Reaction score 9 May 26, 2012 #25 Mtoboasiri said: Asante sana, yaani nimecheka mpaka hapa nilipo watu wakadhani nimepata wehu ukichukulia natumia KI-IDEOS changu cha Mchina! Click to expand... Nadhani wewe hujacheka kama mimi, yaani hapa nilipo mbavu zinauma
Mtoboasiri said: Asante sana, yaani nimecheka mpaka hapa nilipo watu wakadhani nimepata wehu ukichukulia natumia KI-IDEOS changu cha Mchina! Click to expand... Nadhani wewe hujacheka kama mimi, yaani hapa nilipo mbavu zinauma
L lebabu11 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2010 Posts 3,838 Reaction score 3,736 May 26, 2012 #26 Hii ndiyo hali halisi. Tupambane kuibadilisha kwa gharama yoyote. Ni aibu kwa watz wote na ni wajibu wetu sote kuibadilisha!
Hii ndiyo hali halisi. Tupambane kuibadilisha kwa gharama yoyote. Ni aibu kwa watz wote na ni wajibu wetu sote kuibadilisha!
chitambikwa JF-Expert Member Joined Nov 8, 2010 Posts 3,941 Reaction score 903 May 26, 2012 #27 Kpanaya najua anayaita haya 'upuuzi'
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,722 May 26, 2012 #28 Na sisi twendeni magogoni tukalianzisheni alaaaaa okw boban sunzu said: View attachment 54582na sisi twendeni magogoni tukalanzisheni alaaa wananchi wa mali wakijipa raha wenyewe ikulu ya mali baada ya kumpa vitasa vya haja ''kikwete wao'' Click to expand...
Na sisi twendeni magogoni tukalianzisheni alaaaaa okw boban sunzu said: View attachment 54582na sisi twendeni magogoni tukalanzisheni alaaa wananchi wa mali wakijipa raha wenyewe ikulu ya mali baada ya kumpa vitasa vya haja ''kikwete wao'' Click to expand...