Hiyo ndio Tanzania; Tuna utajiri wa Gesi, madini ya thamani, vivutio vya utalii, ardhi yenye rutuba.....
Lakini bado tunaomba misaada nchi za nje, wananchi wanaishi kwa shida.
Katika Afrika Mashariki..... Tanzania ni nchi tajiri kuliko zote lakini ndio yenye wananchi wa hali ya chini wanaoishi kwa kipato cha chini ya Dola moja kwa siku....kuliko zote.
Mkuu wa kaya anaenda kuomba misaada nchi za Ulaya. .. ni aibu kubwa sana kuliko aibu zote Duniani.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!