Kipanya katika ubora wake.

Kipanya katika ubora wake.

CCM ilikuwa imebakiza risasi moja tu katika bunduki yao ya kuimaliza UKAWA. Risasi hiyo ni hotuba mbovu,isiyokuwa na ukweli na ya kumezeshwa ya Dr.Slaa kuiponda UKAWA na Lowassa. Kutokana na kuwa Lowassa ni mpango mkubwa wa MUNGU kuikomboa Tanzania kutoka katika kundi hatari la CCM Dr Slaa ameweweseka na kujikuta akipiga risasi katika upande wake yeye na watu wake hao waliomtuma,kumlipia hotel na ndege ya kukodi kutoka Afrika ya Kusini,na kwenda Marekani ambapo ataendeleza propaganda za siasa nyeusi na chafu hasa kwa kushirikiana na makadakuntu wa ccm ambao watawatumia vijana kadhaa kwa kwavalisha mavazi ya cdm na kuandamana.Dr.Slaa hajali tena maslahi mapana ya Wananchi wa Tanzania.Amelipua bomu na ametokomea kukwepa madhara yake huku watu wa upande wake wakiangamia.Ni matumaini yangu wapenda mabadiliko wote watatambua kuwa hayo yote ni mateke ya mwisho ya ukataji wa roho wa ccm na makada wake waroho wa madaraka!!Hatutapiga magoti na wala hatutosalimu amri...TUNASONGA MBELE,KAMWE HATUTORUDI NYUMA!!!!
 
kipanya mzushi,huo ni mwanzo,ndio maana kaweka round ya pili,ataendeleza round hizo ndio mtajua alikuwa anaenda wapi!
 
Huyo mwenye kisu soksi zake znafanana na jezi ya huyo aliyepigwa kalalia kamba
 
kipanya mzushi,huo ni mwanzo,ndio maana kaweka round ya pili,ataendeleza round hizo ndio mtajua alikuwa anaenda wapi!

Round ya pili mtu chini aendelei tena huyo katepeta tu raund ya pili atafika 10? Na pembeni slaa anataka kuingia na kisu baada ya mchezaji wake kupigwa ko.
 
Slaa na Magufuli wamezaliwa siku moja na mwezi mmoja
na wote ni wakatoliki.......connect the dots...wote wanamsikiliza Pengo...Lowassa na Gwajima

Una uhakika km wote wa catholic
 
UKAWA TOLEO JIPYA HAIFAI KUPEWA DHAMANA YA KUONGOZA TAIFA HILI PENDWA LA JMT, NI GENGE LA WAHUNI, WASALITI WA MISINGI YAO, VIGEUGEU, WANAFIKI NA WAZANDIKI WALIOTUKUKA, watanzania hatupo tayari kuuza nchi yetu, TUMESHASEMA KWA WINGI KUWA HATUTACHAGUA UKAWA TOLEO JIPYA.
Mliotolewa ufahamu endeleeni na UZEZETA WENU.

Kitumia rangj nyekundu .

Yawezekana wewe si bin-adamu.


Jiongeze.
 
KP nae bhaaana
attachment.php

hahahaaaaaa salute MASUDI na huyo anyetaka kuingia na kisu mbona kama slaa??/
 
Slaa na Magufuli wamezaliwa siku moja na mwezi mmoja
na wote ni wakatoliki.......connect the dots...wote wanamsikiliza Pengo...Lowassa na Gwajima

kat ya watu ninaowaheshimu jf ni pamoja na ww lakn leo umenivua nguo hadharan hvi?!!!
Siamin macho yangu kama hiki ndio umekifikiria kukiandika.
 
Back
Top Bottom