😂😂 Kawaida gani tena mh....kapu itajaa hiyo.
Mambo ya mrahaba kumbe,
Taifa litabadilishwa na watu na wala siyo mifumo! Tukipata vipanya watatu kwenye hii nchi ni sawa na viongozi wote wa CCM kuanzia mawaziri hadi wabunge uchanganye kwa pamoja!
Hahahahaha hahahahahaNdiyo maana kuna wanaoishi vizuri kuliko watu wote duniani
Hahaha duh na kapu la ndege #shkamoo_kipanya
Tukuongezee omo mkuu