Kipanya awashtukia wateule

Huyu kipanya ni mchumia tumbo kama zito na mbowe hana lolote

State agent
well said 100% mkuu,alizowea enzi za ritz 1 akipewa promo za vile vi project uchwara vya maisha plus sasa hakuna tena imekuwa bifu.

huyu na genge linalomtumia tunawajua na sumu iliyowajaa tunaijua sababu yake.
 
Kidumu Cha Cha Mapinduzi
Chama Dola!!πŸ˜πŸ˜πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Too personal
 
Ameamua kusimamia media ethics
KP ni moja ya waandishi pekee aliekataa kuunga juhudi sasa sijui fungu halikutosha or haonekani?all ni all si toilet paper kama zingine
 
Nje ya mada. Mkuu hiyo avatar yako imenikumbusha mbali sana wakati wa ubabe wa dola la Umoja wa Jamhuri za Kisoviet USSR au CCCP(Tamka SESESERE)

Mr Putin, please Make Russia Great Again
Utabakia mramba miguu ya chakubanga
 
Mmeshikwa pabaya wanaharamu nyinyi
well said 100% mkuu,alizowea enzi za ritz 1 akipewa promo za vile vi project uchwara vya maisha plus sasa hakuna tena imekuwa bifu.

huyu na genge linalomtumia tunawajua na sumu iliyowajaa tunaijua sababu yake.
 
Ila we jamaa jiwe alitakiwa akupe hata kazi ya upishi jikoni ikulu maana kila uzi unamtetea hata kama utaandika pumba unatimiza wajibu wako vizuri kwa kulipwa buku 7 yako wengine wamekula buku 7 ila hawamtetei kuogopa kuzinguliwa.
Huyu kipanya ni mchumia tumbo kama zito na mbowe hana lolote

State agent
 
Nakuona umepiga suti yako tayari kwenda kuchukua buku zako 7 kutoka lumumba baada ya hii post yako
 
Ila we jamaa jiwe alitakiwa akupe hata kazi ya upishi jikoni ikulu maana kila uzi unamtetea hata kama utaandika pumba unatimiza wajibu wako vizuri kwa kulipwa buku 7 yako wengine wamekula buku 7 ila hawamtetei kuogopa kuzinguliwa.
Haa πŸ˜πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…
Awamu Hii Itapita Itabidi Warudi Kijijini
 
Ile Picture Ya Kiongozi Akiwa Kaweka Simu Sikio Moja Na Microphone Sikio Jingine Iwekeni Hapa Haraka
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜—πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Nasikia huyo ni yule wa nzega
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…