HahahahahahaJuly Mkuu 😎
Sasa kama tumerogwa nani atakuja kutuagua huo uchawi?
Teeh teeh teeth 😁😁😁.....
Dogo yuko very sure kabisa kuwa anakwenda ku - disconnect waya kutoka "chanzo cha sauti" inayokuja kwenye kipaza sauti a.k.a spika...
Maana ndani ya begi likely kuna plaiz, bisbis, spanner, tester na kila kitu...!!
Hofu yetu ni kutoka kwa "wasiojulikana" wa Nissan nyeupe kumteka na kumpoteza kabisa dogo.....!!
Hahaaaa!jamiiforum hadi raha hasa kipindi cha uchaguzi but wapinzani msijisahau mkawa mnashangilia maigizo ya ccm mkasahau kupanga mipango yenu kuhusu uchaguzi mdogo.Hii ni mipango ya ccm kuwazubaisha tu kwenye uchaguziTeeh teeh teeth 😁😁😁.....
Dogo yuko very sure kabisa kuwa anakwenda ku - disconnect waya kutoka "chanzo cha sauti" inayokuja kwenye kipaza sauti a.k.a spika...
Maana ndani ya begi likely kuna plaiz, bisbis, spanner, tester na kila kitu...!!
Hofu yetu ni kutoka kwa "wasiojulikana" wa Nissan nyeupe kumteka na kumpoteza kabisa dogo.....!!
Asijekamatwa na wasiojulikana tuHuyo mtoto anaye fuatilia huo waya sijui kama atarudi salama.
Kama wapinzani watategemea kunufaika na ngonjera hizi wakajisahau (inaelekea hivyo), wataumia sana.but wapinzani msijisahau mkawa mnashangilia maigizo ya ccm mkasahau kupanga mipango yenu kuhusu uchaguzi mdogo.Hii ni mipango ya ccm kuwazubaisha tu kwenye uchaguzi
July Mkuu 😎
Hahaaaa!jamiiforum hadi raha hasa kipindi cha uchaguzi but wapinzani msijisahau mkawa mnashangilia maigizo ya ccm mkasahau kupanga mipango yenu kuhusu uchaguzi mdogo.Hii ni mipango ya ccm kuwazubaisha tu kwenye uchaguzi
Hivi kuna sababu gani wamuogope sana huyo dogo?
Unadhani wasiojulikana watafanya yao! Kama tulivyozoea? Ehhe Mora epushia mbali mtoto arudi salama na taarifa kamiliHuyo mtoto anaye fuatilia huo waya sijui kama atarudi salama.
Si unajua huyo ni ki-panya na panya wote wanapenda kula waya...Dogo lazima atekwe, hatorudi salama huko aendako kufukunyua.
Daaah asavali nimepata pa kuuliza leo. Hivi neno kuagua huwa ni kinyume na kuroga eeeh? Yaani lia maana sawa na unrogaling antrogalismos?Sasa kama tumerogwa nani atakuja kutuagua huo uchawi?
Aaaaaaaaaaaaaa wasiwasi ni akili piaKipanya kuna kitu anajiamini nacho labda wale watu kutoka taifa la wasiyo julikana wanamuogopa