Mchoraji wa katuni za kipanya kwenye gazeti la mwananchi MASOUD KIPANYA ametunukiwa tuzo ya vitendea kazi ambayo amezawadiwa na kampuni ya simu za mkononi ya VODACOM,ambapo kipanya amepata tuzo hiyo kwa kutumia mitandao mbalimbali ya kijamii kuelimisha umma kwa katuni hizo.
Sosi:mwananchi la leo tar 31 julai
Sosi:mwananchi la leo tar 31 julai