Huyu jamaa huwa anatoa meseji za nguvu sana. na hajaanza leo, mnakumbuka enzi za sisco Mtiro na mrema kule Temeke? then Brother Dito, halafu marehemu Mngeja alivyokuwa anawabana mbavu? ukitembelea website yake kuna meseji nyingine kali kwelikweli hadi wahariri wanazikataa. Bravo Kipanya.