Kipanya: Anasemaje leo?

Code rahisi kuliko zote.

Na wazi watawala wanakula tu Mali za umma,hata CAG akija kutoa report hakuna hatua yeyote itachukuliwa
Hiyo office ya CAG ilisha kua ya kisiasa haina meno ya ku-prosicute mtuhumia hata iwe na ushahidi wa kila aina, Bunge letu ni la hovyo kila mtu anajua kaingia je hapo alipo, hi nchi inahitaji total overhauling.
 
Amefanya iwe rahisi ili mama aelewe maana ana kichwa kigumu yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…