Jack Daniel JF-Expert Member Joined Sep 23, 2021 Posts 4,570 Reaction score 18,611 Mar 28, 2025 #2 Code rahisi kuliko zote. Na wazi watawala wanakula tu Mali za umma,hata CAG akija kutoa report hakuna hatua yeyote itachukuliwa
Code rahisi kuliko zote. Na wazi watawala wanakula tu Mali za umma,hata CAG akija kutoa report hakuna hatua yeyote itachukuliwa
PureView zeiss JF-Expert Member Joined Sep 5, 2016 Posts 14,167 Reaction score 45,490 Mar 28, 2025 #3 Ya umma
Beesmom JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 37,436 Reaction score 92,226 Mar 28, 2025 #4 Jack Daniel said: Code rahisi kuliko zote. Na wazi watawala wanakula tu Mali za umma,hata CAG akija kutoa report hakuna hatua yeyote itachukuliwa Click to expand... Ni hatari sana
Jack Daniel said: Code rahisi kuliko zote. Na wazi watawala wanakula tu Mali za umma,hata CAG akija kutoa report hakuna hatua yeyote itachukuliwa Click to expand... Ni hatari sana
C Covax JF-Expert Member Joined Feb 15, 2021 Posts 13,673 Reaction score 41,101 Mar 28, 2025 #5 Jack Daniel said: Code rahisi kuliko zote. Na wazi watawala wanakula tu Mali za umma,hata CAG akija kutoa report hakuna hatua yeyote itachukuliwa Click to expand... Hiyo office ya CAG ilisha kua ya kisiasa haina meno ya ku-prosicute mtuhumia hata iwe na ushahidi wa kila aina, Bunge letu ni la hovyo kila mtu anajua kaingia je hapo alipo, hi nchi inahitaji total overhauling.
Jack Daniel said: Code rahisi kuliko zote. Na wazi watawala wanakula tu Mali za umma,hata CAG akija kutoa report hakuna hatua yeyote itachukuliwa Click to expand... Hiyo office ya CAG ilisha kua ya kisiasa haina meno ya ku-prosicute mtuhumia hata iwe na ushahidi wa kila aina, Bunge letu ni la hovyo kila mtu anajua kaingia je hapo alipo, hi nchi inahitaji total overhauling.
The Legacy JF-Expert Member Joined Jun 1, 2022 Posts 8,259 Reaction score 16,181 Mar 28, 2025 #6 Amefanya iwe rahisi ili mama aelewe maana ana kichwa kigumu yule