Kipanya: Anasemaje leo?

Kipanya: Anasemaje leo?

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,436
Reaction score
50,163
1743139078744.png
 
Code rahisi kuliko zote.

Na wazi watawala wanakula tu Mali za umma,hata CAG akija kutoa report hakuna hatua yeyote itachukuliwa
Hiyo office ya CAG ilisha kua ya kisiasa haina meno ya ku-prosicute mtuhumia hata iwe na ushahidi wa kila aina, Bunge letu ni la hovyo kila mtu anajua kaingia je hapo alipo, hi nchi inahitaji total overhauling.
 
Amefanya iwe rahisi ili mama aelewe maana ana kichwa kigumu yule
 
Back
Top Bottom