Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,609
- 6,357
Japo ni kwa mwanga wa mbalamwezi lakini chadema bado inang'ara. Yaaani ni sawa na kusema Almasi Mchangani. 



Sent using Jamii Forums mobile app




Sent using Jamii Forums mobile app




RubbishYaani Chadema wamejianika usiku giza nene nguo haitakauka ng'o, yaani ni wazi hakuna demokrasia sbb mwenyekiti ni yule yule miaka yote, mambo yatakuwa yale yale, ila pundamilia humu hawataelewa
Hii tumeifua jioni na tutaivaa asubuhi.Nimechunguza hii katuni sijan'gamua kitu.Hivi Masoud anatoa Ujumbe gani hapa??View attachment 1301506
Sent using Jamii Forums mobile app
Rubbish
Nimechunguza hii katuni sijan'gamua kitu.Hivi Masoud anatoa Ujumbe gani hapa??View attachment 1301506
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alishamrithi Cheyo au Mrema? Kwani chama ni Chadema tu? Nyerere alikuwa mwenyekiti wa Tanu tangu 1954 mpaka anang'atuka 1985 bado alikuwa mwenyekiti na tunaimba zidumu fikra za mwenyekiti! Siku chama chochote cha upinzani kikichukua nchi, kitabadili gia ingawa nchi nyingi hata tunazoiga demoklasia zao kama Uingereza mwenyekiti anaweza kukaa miaka 20 sababu kuwa mwenyekiti hakuna uhusiano na kuongoza nchi. Waziri mkuu wa Uingereza siyo mwenyekiti wa chama chake.Yaani Chadema wamejianika usiku giza nene nguo haitakauka ng'o, yaani ni wazi hakuna demokrasia sbb mwenyekiti ni yule yule miaka yote, mambo yatakuwa yale yale, ila pundamilia humu hawataelewa
Chama kinajitoa kwenye uchaguzi lakini bado kinachaguliwa!!Wengine wote wanarukaruka wewe ndio umekaribia kabisa.
Tanzania tupo gizani, hali ni tete lakini pamoja na hilo bado Chadema inang'ara.
Ukiangalia uchaguzi wao wa juzi utaona wazi bado wanakubalika na wanaonyesha nia.
WANANG'ARA GIZANI
Sent using Jamii Forums mobile app