Ameendelea kutuletea kitendawili kigumu zaidi maana nimetoka kapa au na mswaki.
Tafadhali sana kwa wale wataalam wa habari picha na wenye weledi wa kutosha kuchanganua mambo tuelewesheni ni kitu gani alimaanisha huyu Sugu. View attachment 1669632
Ameendelea kutuletea kitendawili kigumu zaidi maana nimetoka kapa au na mswaki.
Tafadhali sana kwa wale wataalam wa habari picha na wenye weledi wa kutosha kuchanganua mambo tuelewesheni ni kitu gani alimaanisha huyu Sugu. View attachment 1669632
Kigwa na wenzake wao walikuwa watazama matumbo yao tuKabisa inabidi TTB wawahoji watalii kwa kutumia taasisi zilizowaleta kupata taarifa zao! why hawarudi? Nilisoma moja ya feedback ya mtaalii iliyofanyiwa tafsiri isiyo rasmi na Malisa GJ ni kwamba TZ tuna Huduma Mbovu na Hatuna Customer care kabisa ingawa tuna vivutio vya kufa MTU.
hilo ndilo jibu RASMIIIIIKabisa inabidi TTB wawahoji watalii kwa kutumia taasisi zilizowaleta kupata taarifa zao! why hawarudi? Nilisoma moja ya feedback ya mtaalii iliyofanyiwa tafsiri isiyo rasmi na Malisa GJ ni kwamba TZ tuna Huduma Mbovu na Hatuna Customer care kabisa ingawa tuna vivutio vya kufa MTU.
Mkuu hivi kuna mtu asiyependa kitu kilicho kizuri na kilicho bora?Sijui lakini. Ila nijuavyo watalii huwa na iternary ya safari zao. Kwa mfano, Ataingia Africa kupitia Africa kusini kwa ndege, atatalii Africa kusini maeneo anayopenda, kisha Ataingia Msumbiji kwa gari, baadae Victoria falls Zimbabwe na Zambia kisha Ataingia TZ na kuondoka Africa kupitia Nairobi.
Safari inayofuata anaweza kwenda Madagascar, Comoro, Shelisheli nk. Sasa nashindwa kuelewa huu ulazima wa mtalii kuja TZ kila mara ilhali angependa kufika na kuona Mambo mapya. Walau Mimi ningekuwa mtalii nisingekuwa na lazima kurejea maeneo niliyokwishapitia awali. Unless niwe nimeoa huko.
Jasmoni TeggaKabisa inabidi TTB wawahoji watalii kwa kutumia taasisi zilizowaleta kupata taarifa zao! why hawarudi? Nilisoma moja ya feedback ya mtaalii iliyofanyiwa tafsiri isiyo rasmi na Malisa GJ ni kwamba TZ tuna Huduma Mbovu na Hatuna Customer care kabisa ingawa tuna vivutio vya kufa MTU.
Hilo sijasema!Mkuu hivi kuna mtu asiyependa kitu kilicho kizuri na kilicho bora?
kitendo cha kuuliza watalii kwa nini awarudi kina nishangaza sana kwani nchi ya kutalii ni moja tu duniani yaani tanzania? kwa maana nyingine mtu afanye utalii wa kurudi kila wakati tanzania 👻👻👻👻👻👻👻👻Ameendelea kutuletea kitendawili kigumu zaidi maana nimetoka kapa au na mswaki.
Tafadhali sana kwa wale wataalam wa habari picha na wenye weledi wa kutosha kuchanganua mambo tuelewesheni ni kitu gani alimaanisha huyu Sugu. View attachment 1669632
Sasa warudi kuangalia nini tena wakati mlima ni ule ule ameshaupanda,ngorongoro kashaenda mikumi Zanziba na kwingineko.Kurudi tena kuja kuanagalia vitu hivyo hivyo mi upuzi ambao hata mimi siwezi kufanya.Nchi nyingine kuangalia vitu vingineAmeendelea kutuletea kitendawili kigumu zaidi maana nimetoka kapa au na mswaki.
Tafadhali sana kwa wale wataalam wa habari picha na wenye weledi wa kutosha kuchanganua mambo tuelewesheni ni kitu gani alimaanisha huyu Sugu. View attachment 1669632