chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
rais wa Ethiopia akifanya masihara jamaa watampiga Hadi ikulu kwake.hili ndo tatizo la majeshi kukaa muda mrefu bila bettle ,wangekuwa wanawapeleka huko afughanistan,daful ,kongo n.k,wanapata wapi muda wa kufikilia au kuwa na mzuka wa bettle ya wao kwa wao!!Nini hasa wanakitaka waasi au wapiganaji wa ki Africa kwa baadhi ya nchi.