Kwani hizo sifa ni zipi??
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.
Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:
1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.
2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.
Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.
Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.
Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:
1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.
2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.
Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.
Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.
Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:
1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.
2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.
Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.
Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.
ha ha ha, huyo kiongozi wenu wa SI SI EMU ana CV gani kama si elimuya kuunga unga na vyeti vya kupewa kwa hisani ya watu wa marekani.
achana na siasa, huziwezi we kaendelee na kazi yako ya kuuza mnazi Lugoba.
Unashida kubwa wewe sijui ni ulewa ama mambo ya Madrasa yanakusumbua!
Unashida kubwa wewe sijui ni ulewa ama mambo ya Madrasa yanakusumbua!
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.
Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:
1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.
2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.
Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.
Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.
Ana uzoefu bungeni,
ana elimu nzuri,
ana busara,
anatanguliza maslahi ya nchi mbele,
hana ukabila,
kwa kifupi yeye ni kiongozi tofauti na aliyepo sasa ambaye amekaa zaidi kibiashara.
JK kamaliza masters yake kweupee pale Mlimani. Si kama online/distant degrees feki za M/Kiti wako.
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.
Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:
1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.
2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.
Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.
Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.
Hivi kila jibu lazima uingize Madrasa why?Punguza udini
'madrasa' imekujaje tena hapo? acha mambo ya udini wakati wa kuchangia mada ni kukashifu dini.