Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.
Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:
1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.
2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.
Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.
Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.
Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:
1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.
2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.
Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.
Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.