Kiongozi wa Kambi ya Upinzani safari hii....mmmh

Kishongo

JF-Expert Member
May 4, 2010
932
64
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.

Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:

1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.

2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.

Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.

Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.
 
Kwani hizo sifa ni zipi??

Ana uzoefu bungeni,
ana elimu nzuri,
ana busara,
anatanguliza maslahi ya nchi mbele,
hana ukabila,
kwa kifupi yeye ni kiongozi tofauti na aliyepo sasa ambaye amekaa zaidi kibiashara.
 
Kwani hizo sifa ni zipi??

Mada nyingine bana, hivi unamjua Mbowe au umemsikia mwaka huu. Unajua kwamba yeye aliingia Bungeni Zitto akiwa Chuo Kikuu ndo kwanza anajifunza siasa?Unajua kuwa Mbowe amekuwa kwenye siasa za kitaifa kabla ya Zitto?Unajua kuwa Mbowe ndiye aliyesimama kukijenga chama kitaifa ktk miaka mitano hii hadi kufika kilipo.

Unauliza elimu unatakwimu?Unajua Zitto ndio kwanza anahangaika na thesis ya masters wakati Mbowe tayari anayo?Ingawa elimu si kigezo, kiongozi wa kambi ya upinzani iliyopita Hamad Rashid si msomi kwa viwango vya usomi, lakini aliendesha kambi kwa busara sana. So angalia hoja zako
 
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.

Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:

1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.

2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.

Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.

Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.

Huna shida ya kusikitika jitoe chadema.
 
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.

Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:

1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.

2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.

Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.

Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.

Hiii inaonekana imekaa kichuki zaidi. Mbowe umemjua toka lini bob? Zito kajifunzia kwa Mbowe. Halafu Mbowe unadai hana elimu unataka ajiite Dr kama Mkwere ndio ujue kasoma? Acha bana mambo yako yule aliyepita kwanza siasa za bara hazijui anajua siasa za pemba aende kule na hawatapata tena nafasi ya kujidai bungeni. Damn!
 
ha ha ha, huyo kiongozi wenu wa SI SI EMU ana CV gani kama si elimuya kuunga unga na vyeti vya kupewa kwa hisani ya watu wa marekani.

achana na siasa, huziwezi we kaendelee na kazi yako ya kuuza mnazi Lugoba.
 
Acha mambo ya kipuuzi we dogo,kwa kujua zitto haileweki ndio unataka tumpe chama ili atuangushe.maana hata kwenye mgomo wa juzi bungeni aliogopa akabaki nje alafu leo unataka atuongoze ili akienda ccm chama kife,umepotoka dogo.ujue unachat na watu wenye elimu kuliko wewe hivo uwe na adabu
 
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.

Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:

1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.

2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.

Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.

Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.

Unashida kubwa wewe sijui ni ulewa ama mambo ya Madrasa yanakusumbua!
 
ha ha ha, huyo kiongozi wenu wa SI SI EMU ana CV gani kama si elimuya kuunga unga na vyeti vya kupewa kwa hisani ya watu wa marekani.

achana na siasa, huziwezi we kaendelee na kazi yako ya kuuza mnazi Lugoba.

JK kamaliza masters yake kweupee pale Mlimani. Si kama online/distant degrees feki za M/Kiti wako.
 
Kishongo kaahidiwa u-Dc na kiongozi wao wa CCM. Hatuhitaji kusikia maneno yake ya kichochezi hapa.
 
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.

Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:

1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.

2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.

Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.

Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.

Kijana umetumwa?
 
Ana uzoefu bungeni,
ana elimu nzuri,
ana busara,
anatanguliza maslahi ya nchi mbele,
hana ukabila,
kwa kifupi yeye ni kiongozi tofauti na aliyepo sasa ambaye amekaa zaidi kibiashara.


So far ukimondoa huyo Zitto ambae nina uhakika siku zake chadema zinahesabika watakaobakia kwenye nafasi za juu majority wanatokea kanda ya kaskazini sijui kama ni kwa bahati mbaya au makusudi.
 
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.

Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo ambao hana uwezo wa kuubeba. Atashindwa kabla hata ya kuanza kutokana na sababu kuu mbili:

1. Elimu yake ndogo na pia hana uzoefu wa mikikimikiki ya kisiasa. .... Itakuwa shida/aibu atakapokutana na International counterparts wake.

2. Amezungukwa na viongozi wenzake pamoja na washauri wasanii. Mara nyingi maamuzi yake hutokana na ushauri potofu unaotolewa na wafuasi wake kwenye hii forum.

Nafasi ile ilikuwa ya Mhe Zito, ana sifa zote.

Lakini tufanyeje....Hizi ndio siasa za Chadema wandugu.

Acha kudesa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom