TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,773
- 21,272
Asalaam alykhum.
Nimefuatilia sana hikinkipande cha sinema nikaishia katikati, kucheka nataka, kuwa serious nashindwa.
Nikaona siyo sawa, kama mtu huwezi kuenenda sawa sawa na utaratibu wa ibada basi bi bora kutulia tu.
Hebu mcheki yule mwamba VP Gachagua anachofanya kwenye 01:36 hadi walio pembeni na nyuma hawana mbavu!.
Nimefuatilia sana hikinkipande cha sinema nikaishia katikati, kucheka nataka, kuwa serious nashindwa.
Nikaona siyo sawa, kama mtu huwezi kuenenda sawa sawa na utaratibu wa ibada basi bi bora kutulia tu.
Hebu mcheki yule mwamba VP Gachagua anachofanya kwenye 01:36 hadi walio pembeni na nyuma hawana mbavu!.